Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,642
- 4,476
- Thread starter
- #101
Ni kweli kabixa hapa nilipo nimewafundisha wote kubetNA KWA TAARIFA YAKO MPAKA MAOFISINI WATU WANABET
Ni kweli kabixa hapa nilipo nimewafundisha wote kubetNA KWA TAARIFA YAKO MPAKA MAOFISINI WATU WANABET
ubaya nilionao watu wangu wakaribu wote nilishawashawishi kubet nao wanabet siyo mchezo nikisema kujiepusha nao sijui nitakuwa mtu ganiKwenye maisha unapaswa kujua udhaifu wako ili usikuongoze.
Hongera kwa kuutambua udhaifu wako. Jiweke busy na kazi, jiepusha na marafiki wanaobet.
Kweli ata wiki hii zote zimeshinda ungeka ata milioni tatu ungekuta leo unapesa nzuri sanaUsiache kubet kama hujaanzisha mradi mwingine mbadala, kubet ni moja ya miradi mizuri sana hapa kwetu Tanzania, unaweza kutake risk ukawa unabet timu tatu tu kwa week, let say Real Madrid, Barcelona na Beyern unaweka mzigo wa milioni moja kila week, unaingiza mpunga mrefu sana kwa week tofauti na mtu aliyeajiriwa, hizo timu ni nadra sana kukuchania mkeka.
Alafu team iliyo niulia ni barcelona alikuwa anacheza na atl nikampa cap akashinda 2:1 sikuamini paka leo hapo nilikuwa na wapambe shazi mbira ulivyokwisha kila mtu alikula kona yakeyaani hapo kama ni mwanamke inamaana aliguswa kwenye G-spot
Mkuu wewe upo kama mimi, yaan Pool table na KuBet vimenipita kushoto kabisa!Ktk Michezo ambayo imenipitia kushoto ni huu Na Pool Table
Sio ningeweka hiyo ndo shughuli yangu every week ila huwa naweka laki 5 and it pay me, nimefikisha nyumba kwenye linter na sasa nakusanya ya bati, hadi league iishe nitakua nimeezeka nyumba, msimu ujao kama zitakua kwenye form hizo team inshaalah tafanya finishing na kuamia. Anayeponda kubet alaaniwe walah tena. Ila angalizo usibet siku zinapokutana na timu ngumu kama atletico, sevila, dortmond, pia usije kuchanganya na team za england, England league yao haitabiriki kabisa.Kweli ata wiki hii zote zimeshinda ungeka ata milioni tatu ungekuta leo unapesa nzuri sana
Kweli mkuu ngoja kesho niwekeSio ningeweka hiyo ndo shughuli yangu every week ila huwa naweka laki 5 and it pay me, nimefikisha nyumba kwenye linter na sasa nakusanya ya bati, hadi league iishe nitakua nimeezeka nyumba, msimu ujao kama zitakua kwenye form hizo team inshaalah tafanya finishing na kuamia. Anayeponda kubet alaaniwe walah tena. Ila angalizo usibet siku zinapokutana na timu ngumu kama atletico, sevila, dortmond, pia usije kuchanganya na team za england, England league yao haitabiriki kabisa.
Ukijaribu kubet kama unabahati utasema ayo maneno kwasababu kuna kipindi nikitaka pesa ya simu kali natafua 50 elfu natengeneza laki 4 naenda kununua simuMkuu wewe upo kama mimi, yaan Pool table na KuBet vimenipita kushoto kabisa!
Japo ni shabiki wa kutupwa wa Kandanda!
Mbona hao walioleta kwao iko zaidi ya miaka 50+ but ndio wameendelea au kwao sio addiction?? Though simshauri.mtu ajiingize kwenye haya makituMiaka mitano ijayo hili litakua janga la kitaifa....lina athari kubwa sana ila sasa hv haionekani...addiction moja mbaya sana
Toka lini africa vikaletwa vitu vy maendeleo.... watu huko wanastruggle kuachana na hii addiction... wanaenda mpk rehab kwaajili ya hii kitu.... mwisho wa yote ni mtu kubaki na madeni na kuuza ama kuua chanzo cha mapato yako.wait n see!!!Mbona hao walioleta kwao iko zaidi ya miaka 50+ but ndio wameendelea au kwao sio addiction?? Though simshauri.mtu ajiingize kwenye haya makitu
Nikiweka jero nibora nisibet hapo kwa jero ningekula 7000 elfu saba ata mishe mishe naipata mm nataka pesa ambayo siipati kwa uraisiSema mwanangu una mpunga.mpk waweka laki 5 kwa mechi zinazochezwa huko ulaya ambako.probablity no 0.000010 kushinda.
1.Ukibeti weka kiasi.ambacho uko radhi kukipoteza. Kama unavyohonga pesa kwa mwanamke na haikuumi ndio hiko hiko unachotakiwa kubeti. Usibeti hela ambayo unaumia ukiliwa. Thats y mwingine mwenye nidhamu yeye hela.nyingi akiweka ni 500/
2.Do it for fun! Usitafute utajiri kwenye kamari. Utalia!!! Wenye utajiri ni hao wenye majumba ya kamari.
3.In JK voice" ukitaka kula sharti nawe Uliwe".
Mbona wameleta vingi vya maendeleo mpira dini elimu kubet n.k unataka vingine walioleta vya maendeleo au niishie hapoToka lini africa vikaletwa vitu vy maendeleo.... watu huko wanastruggle kuachana na hii addiction... wanaenda mpk rehab kwaajili ya hii kitu.... mwisho wa yote ni mtu kubaki na madeni na kuuza ama kuua chanzo cha mapato yako.wait n see!!!
Jamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda![]()
Huo ni ugonjwa,kama punyeto kuacha ni kazi ndugu yangu ukikosa pesa utabet kwa kitu,simu,baiskeli,gari,nyumba,watoto,mke mwisho unajibetia wewe mwenyeweJamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda![]()
Nikijibet mwenyewe itakuwa mwishoHuo ni ugonjwa,kama punyeto kuacha ni kazi ndugu yangu ukikosa pesa utabet kwa kitu,simu,baiskeli,gari,nyumba,watoto,mke mwisho unajibetia wewe mwenyewe
Unaweza mkuuMi natamani kubet ila kwenda kwnye vile vibanda ndo siwezi, hv online huwez kubet kwa hapa bongo??
Dah! wewe unataka kuacha me nataka nijifunze kubeti hasa mechi za Arsenal maana huwa sipati taabu kubashiri mechi za Arsenal.Jamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda![]()
Ni nzuri mkuu jifunze kama una bahati unatajirika kwa muda mfupi tu ila kama una bahati hali yako ni mbayaDah! wewe unataka kuacha me nataka nijifunze kubeti hasa mechi za Arsenal maana huwa sipati taabu kubashiri mechi za Arsenal.