Nifanye nini ili niache kubet?

Nifanye nini ili niache kubet?

Endelea tu kubet cna cha kukushaur maana mwenzang nmemshaur ache imeshndkana sahv anafanya siri nikimpga sach mifukon nakuta mikeka hata 50 ukimkataza anapoa kama mgonjwa anakosa Aman furaha yake iko kweny kubet xo na ww endelea tu ipo cku utachoka utaacha
 
Nilijitaidi kwa wiki moja sikubet kabisa nikawaambia watu nimeacha kila mtu alishangaa anaye nijua ila wiki sina furaha kabisa nikaenda siku moja nikaweka mkeka nikala laki 2 nilijiona kama nimekosa pesa nyingi sana nilivyo acha
Kama unakula laki mbili kwann uache? wenzako wanabett kila siku lakin wanatoka kapa
 
Halichachi wala halivundi kwa mfano...... Unaanzaj kuacha
 
Halichachi wala halivundi kwa mfano...... Unaanzaj kuacha
Nawashangaa wanaomwambia aache kubet.nawashauri km wanamwambia aache kubet wampe pesa au ajira Mimi nimeajiliwa ila ila pesa ninayopata kwenye kubet ni zaidi ya Mara 3 ya kipato changu kwa mwezi
 
Mkeka wangu bado barca nipate hela ya kodi kesho,anaongoza 1 tayari
Kula like mkuu, bila shaka we ni mwanachama wa live betting. Na huko ndiko kwenye hela uhakika sio upumbavu wa kubeti mechi ambazo hata wachezaj hawajatoka hotelini kuelekea ground!
 
Uza mali zote jumlisha na kipato chako chote... ukipigwa utashika adabu
 
Nawashangaa wanaomwambia aache kubet.nawashauri km wanamwambia aache kubet wampe pesa au ajira Mimi nimeajiliwa ila ila pesa ninayopata kwenye kubet ni zaidi ya Mara 3 ya kipato changu kwa mwezi
This is true, ni kazi gani utafanya uingize laki mbili kwa lisaa katika nchi yetu hii?
Acheni watu wabeti jamani, mtu unalaza laki 4-6 kwa siku kwanini uache hio kazi!
 
Mi natamani kubet ila kwenda kwnye vile vibanda ndo siwezi, hv online huwez kubet kwa hapa bongo??
Jisajili meridian bet uanze kula pesa mkuu, uzuri kule kuna ligi nyingi hamna mfano na unaweza kubeti gemu inayocheza kikubwa mtaji tu. Waweza tengeneza hadi laki 5 kwa siku kwa kutumia msingi wa laki tu. Acha kubeti kishamba ile kwamba flani win. Betia idadi ya magoli mbn unachomoka fasta mno!
 
Kama unakula laki mbili kwann uache? wenzako wanabett kila siku lakin wanatoka kapa
Wanaotoka kapa ni wale wanaobeti jero kwa milioni 6. Maisha.....huwezi bashiri timu zaidi ya kumi ukapatia zote! You must be very lucky man. Wajanja tunakula na gemu za live, cheza na idadi ya magoli tu kulaza laki 3 kwa siku sio kitu cha mchezo. Na probabilty ya kukosea ni ndogo sana maana unachezea gemu maximum 3.
 
Jamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda
a80ec110c8c0447e13bea349d7374327.jpg
Usiache kubet mzee, badilisha mfumo wako wa kubet. Na hii ni dalili ya kuchoka kuwachangia wenzio wanaokula kila siku mkuu, acha kubet kishamba jisajili kampuni zinazoruhusu kubeti game za in-play! Meridian, M-bet na Premier sema utafanyia mambo haya kwenye smartphone yako.
 
Nawashangaa wanaomwambia aache kubet.nawashauri km wanamwambia aache kubet wampe pesa au ajira Mimi nimeajiliwa ila ila pesa ninayopata kwenye kubet ni zaidi ya Mara 3 ya kipato changu kwa mwezi
Itanibidi niendelee kumpasua tu huyu mzungu
 
Usiache kubet mzee, badilisha mfumo wako wa kubet. Na hii ni dalili ya kuchoka kuwachangia wenzio wanaokula kila siku mkuu, acha kubet kishamba jisajili kampuni zinazoruhusu kubeti game za in-play! Meridian, M-bet na Premier sema utafanyia mambo haya kwenye smartphone yako.
Poa poa
 
Ukiishiwa tu utaacha.au ongeza dau la kubet,uwe unafunga mkeka wa laki ukiliwa unahifadhi risiti.halafu siku moja uje uzihesabu hizo risiti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom