Nifanye nini ili niache kubet?

Nifanye nini ili niache kubet?

We bet tu, ili mradi unapata ela... kila mtu anacho kitu ambacho akikifanya humpa furaha therefore hiyo ni namna yako ya kupata furaha. Kwa wenzetu wazungu ambapo bet zimetokea hiyo ni sehemu ya maisha yao na wanabet kama ww unavyoenda club kujipa furaha. akitoka job anapitia mikeka yake mitatu anaenda kwenye mapumziko na hawaweki ela ndogo.

we jipe furaha bana maisha yasogee ukiyachukulia serious yatakuwa magumu balaa.
Kweli mkuu kwasababu mm sinywi pombe siendi klabu nachopenda ni kubet na watoto wazuri basi
 
kweli binadamu tunatofautana sana.yani mi shughuli zangu ni kubrtisha kwa miaka mingi sasa ila ni kawaida kuto toa mkeka hata mmoja ndani ya mwezi na nikiangali watu wanao nizunguka mazala waliyoyapata kwa kuendekeza kubet ni wengi mno..kipato changu napata kupitia kubetisha ila ikitoa huu mchezo ukasitishwa nitashukulu sana kwakuwa tutakua tumeokoa sehemu kubwa ya kizazi chetu.....
Kusitishwa itakuwa ngumu kwasababu ata ikisitishwa tanzania mm uwa nabet kwa makampuni ya ulaya naweka dola na pia inalipa kodi kubwa sana
 
Betia kodi ya Nyumba au ada ya mwanao ikiwa huna nyingine ukiliwa utaacha
 
kika ukitaka kubeti ingia jf utajikuta umeacha kubet.
2. washa kiberiti cha gesi halafu kila ukitaka kwenda kubet jiunguze iwapo huta hisi uchungu toka nenda kabeti , ukihisi uchungu usiende kubeti
Huku naingia kabla ata bet aijaja
 
Mimi nakuelewa,kuna wengine hawatakuelewa. Kwa kifupi betting addiction is real. Kuna addiction za computer games pia. Naona vijana wa kizazi cha sasa wahkipata hilo tatizo, serikali iweke mkakati wa kukabiliana na hili tatizo, ikiwemo kuanzisha vituo vya kuwasaidia addicts kujirekebisha tabia zao.

Tafuta mtu unayemheshimu na anayeweza kukusikiliza na kutunza siri ya tatizo lako. Nenda karipoti kwake kila siku/wiki ukimuelezea kama umeweza kukaa bila kubet au la. Huyu mtu anaitwa sponsor.
 
Mimi nakuelewa,kuna wengine hawatakuelewa. Kwa kifupi betting addiction is real. Kuna addiction za computer games pia. Naona vijana wa kizazi cha sasa wahkipata hilo tatizo, serikali iweke mkakati wa kukabiliana na hili tatizo, ikiwemo kuanzisha vituo vya kuwasaidia addicts kujirekebisha tabia zao.

Tafuta mtu unayemheshimu na anayeweza kukusikiliza na kutunza siri ya tatizo lako. Nenda karipoti kwake kila siku/wiki ukimuelezea kama umeweza kukaa bila kubet au la. Huyu mtu anaitwa sponsor.
Asante mkuu
 
kweli binadamu tunatofautana sana.yani mi shughuli zangu ni kubrtisha kwa miaka mingi sasa ila ni kawaida kuto toa mkeka hata mmoja ndani ya mwezi na nikiangali watu wanao nizunguka mazala waliyoyapata kwa kuendekeza kubet ni wengi mno..kipato changu napata kupitia kubetisha ila ikitoa huu mchezo ukasitishwa nitashukulu sana kwakuwa tutakua tumeokoa sehemu kubwa ya kizazi chetu.....
Sasa mkuu nawewe utaishije mjini endapo huu mchezo ukipigwa kufuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom