Du!!ila kalibu kwetu nikuonyeshe waathilika wa bettin huenda kidogo itakusaidia...Kusitishwa itakuwa ngumu kwasababu ata ikisitishwa tanzania mm uwa nabet kwa makampuni ya ulaya naweka dola na pia inalipa kodi kubwa sana
aahh!!tutatafuta utafutaji mwingine mi kinachonikela kunamiji2 naiona kabisa ikishachukuwa mshala ye mbio kwenye kubet.ninae mmoja apa kashaludisha familia kwa mamamkwe analala geto yani maisha yanamsumbua nikikwambia mshala wake huezi amini na haelezeki uyo ukimshauli sana kuusu kupunguza kubet anakukimbia anaenda bet kwengine...Sasa mkuu nawewe utaishije mjini endapo huu mchezo ukipigwa kufuri
Mkuu ww ni dini gani raha ya mkeka kula[/QUO
Mm dini yangu ni asili ya mwaafrika , kuabudu miungu tu , hizo za kuletwa na meli tuwaachie wenyewe, pia kubet mhimu mkuu kwa nn uache kubeti?
Mambo ya chumbani hayo nenda IT plaza pale PrincessUliweka mkeka wa shiling ngapi?
Na timu ngapi?
dah... nimekumbuka mbali sana hii kitu (betting) ikikaa akilini ni mbayaa sana maana nakumbuka mwaka hule 2012 niliona kama nabanwa sana kubet kwa mawakala nikaenda ofisini kwao nikajisajili na kuchukua mashine kabisa its was premier bet hile nikawa nakaa nalo home yaani mimi nabett mwenyewe na washkaji wachache tu... ilikuwa hatari chuma ulete ninalo ndani ..kilichokuja kunitokea sita sahau nilifilisika vibaya walikuja kufuata mashine yao maana madeni yalikuwa yamezidi na ulipaji zero...Jamani nifanye nn ili niweze kuacha kubet kwasababu mm imekuwa ni zaidi ya madawa ya makonda![]()
hujui kuwa serikali inakusanya kiasi kikubwa sana cha mapato kupitia huu uwekezaji maan sio beting tena ni investment so mwenye akili haambiwi tazama ni kujiuliza tu mara moja ya pili unachukua hatua kma huu uwekezaji unakuletea effects kubwa kiac gani nikuacha tukweli binadamu tunatofautana sana.yani mi shughuli zangu ni kubrtisha kwa miaka mingi sasa ila ni kawaida kuto toa mkeka hata mmoja ndani ya mwezi na nikiangali watu wanao nizunguka mazala waliyoyapata kwa kuendekeza kubet ni wengi mno..kipato changu napata kupitia kubetisha ila ikitoa huu mchezo ukasitishwa nitashukulu sana kwakuwa tutakua tumeokoa sehemu kubwa ya kizazi chetu.....
HUU MCHEZO NI MGUMU SANA KWA SABABU KILA SIKU UNAKUWA UNAJIPAA MATUMAINI YA KUSHINDA NA UNAJIKUTA UNAKOSEA MECHI MOJA TUU SASA NA HAPA NDIPO UGONJWA AU USUGU UNAPOANZIA YAANI UNAKUA NA MATUMAINI YA KUWA ONE DAY YES KWAHIYO KILA SIKU UTAJIKUTA UNALIWA 100 AU 10,000 NA NK
Ukipigwa kufuli hapa tanzania kuna makampuni kibao nje ya tanzania paka sasa nabet kwa dolaSasa mkuu nawewe utaishije mjini endapo huu mchezo ukipigwa kufuri
Asante mkuu kwa ushauriUsiache beti tuu kistaarabu.
yaani hapo kama ni mwanamke inamaana aliguswa kwenye G-spotkukosa team moja ndiyo hatari ni bora ukose tano ukikosa moja kila siku utaona kama unakaribia kumla kwaiyo kila siku utakuwa mtumwa wakwenda kipindi naanza kubeti nilikosa milion sita team moja ndiyo ilinifanya niwe nabet kila siku
Huyo ndiyo mgonjwa afadhali na mmaahh!!tutatafuta utafutaji mwingine mi kinachonikela kunamiji2 naiona kabisa ikishachukuwa mshala ye mbio kwenye kubet.ninae mmoja apa kashaludisha familia kwa mamamkwe analala geto yani maisha yanamsumbua nikikwambia mshala wake huezi amini na haelezeki uyo ukimshauli sana kuusu kupunguza kubet anakukimbia anaenda bet kwengine...
Mimi mkuu uwa naweka pesa kweli ukimuonyesha mtu hiyo pesa anawaza unachezea pesa ila ukila unapata pesa nyingi kwa muda mfupiUsiache mkuu.....inalipa sana...sema usibet pesa ndogo ndogo