- Thread starter
- #81
Basi endelea kuvumilia kutendwa usilalamike
Asante kwa mchango wako
Basi endelea kuvumilia kutendwa usilalamike
HI NOMINOMI,Nimekuwa mhanga wa kupenda sana, lakini ndio naishia kutendwa naombeni ushauri nifanyeje nisipende sana??
Yeah kitu nilichojifunza hapa ni kukaa kimya mpaka anitafute mwenyewe, nitajitahidi kuwa busy nisimuwazeKuna vi2 ving umeongea kuhusu tabia za bf wako naona zimefanana na gf wang ila nilichoamua mm kukaa kimya mpk anitafute huku naendelea kutengeneza maisha yang kama sipo nae
Asante kwa mchango wako nimeshatishia mara kibao ndio anashtuka na kuanza kukutafuta au labda asilimia kubwa wanaume mko hivyo? Kikazi yeye huwa busy sana. Ambacho sitaki ni kuwa kero kwake sasa kila wakati kiroho kinadunda kama sijamsikia
HI NOMINOMI,
Labda ukisikiliza huu wimbo utakufariji na wengine pia....
Yeah kitu nilichojifunza hapa ni kukaa kimya mpaka anitafute mwenyewe, nitajitahidi kuwa busy nisimuwaze
Asante karibu sana ila mimi sijui kutumia PmBasi naomba tuwe marafiki ili ulemuda unamkera tuta chat na utafurahi siku itapita mpaka hapo atakapo kukumbuka yeye kutoka moyoni nakuambia lengo nikufaraji na mimi nijifariji
Kama kweli anakupenda atakutafuta tu....Waswahili wanasema raha ya mapenzi kupendana sio kujipendekeza.
Nipo kwenye 30's
Dah thank you my friend I don't regret pouring my issue here God bless u
Big up sana!!Yeah hapa kuna kila kitu vya kukuliwaza,hili song na wengine huenda likawafaaa haswaa...
"loves comes to those who still hope althogh they have been dissapointed" NOMINOMI"go for someone who makes u smile"
Enjoy ur flavour....
UNAPENDA VINAVYOPENDWA.. HUTENGENEZI VYAKO UNAVIZIA VILIVYO TENGENEZWA.. WALAH HutafaidiNimekuwa mhanga wa kupenda sana, lakini ndio naishia kutendwa naombeni ushauri nifanyeje nisipende sana??
kwa kweli ladies mna akili fupi sio wote ila endeleeni kuwa chombo cha starehe wacha sisi men tujenge ulimwengu ..wadada ovyo kweli ungekuwa makini na bize usinge jizamisha kipuuzi
kwenye halafu hushtuki umri umesogea sana au unajiona bado 18 yrs ngoja ufike 40 uanze kuomba mungu upate mume hata ambaye tayari ana familia jiongezeeeeee
Mpendwa hapo kwenye suala la zawadi inategemea wanaume wengine hii kitu ya zawadi hawajazoea tokana na makuzi yao. Hivyo ukipewa zawadi shukuru na usipopewa shukuru usijiweke roho juu. Tulia mpendwa kupenda kuna raha yake lkn uangalifu wa unaempenda ni muhimu sana. Kwa mfano kuna wanaojiingiza kwenye mapenzi wakijua kabisa mtu huyu ana ntu wake ila ntakomaa mpaka kitaeleweka sasa ktk hali kama hii inabidi uwe mpole tu.Asante mpendwa wangu hatujaachana isipokuwa mimi ndio najiona kama nahangaika yeye walaa! Mimi ni mwajiriwa na nina kipato cha kawaida ila ndio kila kitu najihudumia mwenyewe yaani hata vizawadi vidogo hakuna sijui kuna watu wako hivyo. JF nimekuwa nikisoma tu kwakweli inasaidia na wabarikiwe wote wanaotoa ushauri kwa moyo.