Mimi Nina mbwa ni anapata msosi Wa kueleweka sana na analala sehemu nzuri sana. Sasa ni kwamba mbwa wangu sio mkali hata kidogo!
Sasa naombemi msaada Wa ushauri wenu ni mlishe nini ili awe mkali!! Naombeni ushauri wenu wadau maana ninampenda sana mbwa wangu!
Karibuni washika dau na poleni na majukumu ya kila Siku!!! Karibuni kwa jukwaaaa
mvutishe bangi.........
Seriously...
Mvutishe bangi...
Utafurahi mwenyewe
Mimi Nina mbwa ni anapata msosi Wa kueleweka sana na analala sehemu nzuri sana. Sasa ni kwamba mbwa wangu sio mkali hata kidogo!
Sasa naombemi msaada Wa ushauri wenu ni mlishe nini ili awe mkali!! Naombeni ushauri wenu wadau maana ninampenda sana mbwa wangu!
Karibuni washika dau na poleni na majukumu ya kila Siku!!! Karibuni kwa jukwaaaa
Kuna sehemu Mwenge niliona bango la mwalimu wa mbwa (dog trainer) inawezekana wao wanajua sababu za kitaalam zinazomfanya mbwa awe mkali au mpole kesho nikipita nitasoma namba yake nitaileta hapa. Ila moja ya basics ni kumtenga,asiwe ana mazoea na watu awe anafungiwa mapema alfajiri na kufunguliwa usiku si chini ya saa nne,niliwahi kuwa na mbwa nikiwa mdogo mbinu hii ilinisaidia japo matokeo hayakuwa mazuri kama nilivyotaka. Wengine waliniambia mbwa hatakiwi kula vyakula vilivyoungwa na vyenye chumvi, wengine ndo kama mkuu dabo wakadai niwape bange ila zote hizi hazina uhakika na ni kama imani tu (myth). Mbwa umpe bange akiwa kichaa akakudhuru wewe mwenyewe utasemaje?
Preta hebu TUPE uzoefu wako kijanaHivi umbwa inavutaje tena........?......niliona siku nyingi nimesahau..........
kwani uongo? mbona tunakula wenzio karibu kalenga.
Mpe jina la Simba au Chui.........utakuja kuniambia.........
Usimzoeshe kumfungua mchana labda kama unamuogesha...mpe chakula mara moja tu usiku ukimfungulia..mpe chakula ila at least mara moja nyama na mifupa kutest meno yasilemae na softfood....halaf ujaribu kuwa una msemesha matendo kama kukamata au kuacha kufanya kitu....zingatia itasaidia...ila inategemea na aina ya mbwa ulikomtoa...kama ile jamii flan inayoshinda sebulen kwa Wema Sepetu hawezi kuwa mkali hata ukimvutisha bange ndo atazidisha usingizi
Hawa mixed breeds aka mbwa koko wa kawaida ni kupoteza muda. Tafuta breed anayefahamika kama pitbull. Sijui kama wapo Bongo. Huyu ni hatari. Anaweza kukurarua hata wewe mwenyewe ukapoteza viungo na kuumbuka mtaani kwenu.
Tafta cha arusha alafu usimpe chakula kwa siku 3
Kwny chakula chake mjengee mazoea ya kumchanganyia na bange mbichi halafu kwny maji ya kunywa angalau kisikosekane angalau kiroba kimoja kila cku , hapo nakuhakikishia hata simba watakuwa wanamuogopa
Mimi Nina mbwa ni anapata msosi Wa kueleweka sana na analala sehemu nzuri sana. Sasa ni kwamba mbwa wangu sio mkali hata kidogo!
Sasa naombemi msaada Wa ushauri wenu ni mlishe nini ili awe mkali!! Naombeni ushauri wenu wadau maana ninampenda sana mbwa wangu!
Karibuni washika dau na poleni na majukumu ya kila Siku!!! Karibuni kwa jukwaaaa