Nifanyaje ili kumpata huyu demu

Nifanyaje ili kumpata huyu demu

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] nimecheka sana gluk, MBNA ww umetongoza ukakubaliwa afu umeshindwa chakufanya hadi umekuja humu kuomba ushauri, vipi kumzodoa mwenzio[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Unajua kwanza yule binti kuna boys kibao walikuwa wanamfatilia sana pale maeneo ya kazini na akaonyesha kuwa ni kisiki balaa watu wametumia pesa zao na muda wao mwingi kumfatilia wakatoka kapa, ila mm haikuisha hata wiki, ndo maana nikamwambia hivyo
 
Mtumie picha umebeba sumu ya panya............fasta tu
 
We hujui kutongoza acha uboya mbona mimi nikipiga sound ndani ya wikii3 naanua kufuli zao?
 
Mpele beach weekend moja.zama nae kwenye shallow waters huku ukitekenya maeneo ya ikulu
 
Kuna wimbo flani hivi umenitoka kidogo,japo nakumbuka baadhi ya maneno: ......sijui nini na nini ".... KAMA HAKUTAKI YANINI KUMBEMBELEZA...."
Anayeufahamu anikumbushe tafadhali.
hahahahaha
"Boma la utete mwingereza kalitengeneza...
Mwanamke hakutaki ya nini kumbembeleza...
Umemtuma mtu na barua umemuandikia...
Akipita anaringa ukimwita anakuchunia...
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
 
Mnyweshe savanah mdanganye haina kilevi halafu akishalegea mpigie magoti ulie na machozi kabisa, atakufikiria.
 
Kuna wimbo flani hivi umenitoka kidogo,japo nakumbuka baadhi ya maneno: ......sijui nini na nini ".... KAMA HAKUTAKI YANINI KUMBEMBELEZA...."
Anayeufahamu anikumbushe tafadhali.
[emoji445] [emoji445]
Boma la utete kumbe mwenzako limedekezwa
Mwanamke hakutaki ya nini kumbembeleza
Umempiga busu na barua umemwandikia
Akikuona anaringa ukimwita anakuchunia[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
[emoji445] [emoji445]
Boma la utete kumbe mwenzako limedekezwa
Mwanamke hakutaki ya nini kumbembeleza
Umempiga busu na barua umemwandikia
Akikuona anaringa ukimwita anakuchunia[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Asante!
Wimbo huu umfikie baba bora popote pale alipo
 
Back
Top Bottom