bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,855
- 4,551
Mara paap tumemzimia demu 1 nitacheka sanaaa aiseee qmmmketupo wengi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara paap tumemzimia demu 1 nitacheka sanaaa aiseee qmmmketupo wengi mkuu
😂😂 yaani mpaka usemewengine wanafanya makusudi ili flani aumie akiona
Baby tuki achana, tubadilishane I'd tu🤣😀
😆😆😆We dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi🐒
Huu uzi ni wa Nifar
Endelea kuwa danganya wenzio 😀🤣🤣🤣🤣Watu wanawaonaje Tena?tunawaona mnapendana....love is a beautiful thing usiogope kadadaa
bwahahahahahahahahah!!
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!🙇🙇🙇🙇🙇🤣mm
Sio mafataki, ni li mask😀🤣Moderator sitaki haya mafataki kwenye wall yangu yananiumiza macho bwanaaaa
Mkuu, Nashukuru kwa kila ujumbe wako uliouweka hapa.Ni wakati wa kutulia sasa, usiingie kwenye mahusiano mapya haraka haraka, mapenzi ya kweli hayahitaji haraka, nakuombea upate mtu mwingine aliye bora ambaye mtafunga pingu za maisha na kutengeneza kizazi kijacho.
Nilitaka kuuliza mbona out of topic..khaaWe dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi
Huu uzi ni wa Nifar
Usiharibu Uzi wawatu pulllllllliiiiiiiiizzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Heeeeee kulikoni mbona cheko Kali shosti?
🤣🤣🤣🤣🤣Za kuambiwa Mr deliEndelea kuwa danganya wenzio 😀🤣
😂😂 hupoi huboi😆😆😆
Victim’s syndrome
maana niniKwakweli shukuru Mungu kipenzi,, maana
Kujipa umuhimu hamna kingine😂Nilitaka kuuliza mbona out of topic..khaa
Mimi nausoma mkanda huu😂😂😂Ewaaaa umeona sasa jf men walivyo
Mnakutana kwa siri huko unajua umemfurahisha 100%
Kesho Ana new ID kakuponda balaa 🤣🤣🤣
Kila mada unafit kadadaa?😂😂 hupoi huboi
Hizi aibu ndogo ndogo mimi nisingeweza kuvumilia😃maana nini