Niende PCM au PCB ?

Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia <<<<<<<ACHA UONGO MARA CHUO MARA UMECHAGULIWA KIDATO CHA TANO UNA DIVISION ONE MIJITU MIONGO HUMU NDANI NDIYO MAANA HATA PICHA HAIWEKI INAOGOPA KUABIKA
hahaaa ni noma sana Leo ameaibika
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
Mmmmh....si ulisema unasoma ARU wewe na ukasema kuanzia j3 hadi Alhamisi wasoma then ijumaa hadi j2 club?uelewekaje?
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
We jamaa utakuwaa muuza madawa na kama jina lako halipo central basi ni bahati mbaya
 
Back
Top Bottom