Niende PCM au PCB ?

Niende PCM au PCB ?

Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni

wewe ndo tukushauri! wakati kifo unatembea nacho
Nina mwaka wa pili huu kondomu siijui
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
matokeo mazuri PCM ndio mpango mzima na baadae nakushauri usome mechanical engineering
 
Back
Top Bottom