Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,537
Huyu anaonekana ana upungufu wa akili...si ndo alisemaga ban ya hf imempa A+ mara anasoma ARU
Huyu anaonekana ana upungufu wa akili...si ndo alisemaga ban ya hf imempa A+ mara anasoma ARU
Akirudi atasema kapata A+
Naona wanatufanya wote watotoTukuelewejw mleta Uzi????
Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa
Huu Uzi wako na Uzi wa Leo tuchukue lipi?
Mwanzoni ulisema umesoma PCB halafu Leo unaleta matokeo ya kidato cha NNE???
Ha ha ha haNenda CCM
Mkuu kumbe huyu jamaa alikuwa na nguzi nyingi hivi ambazo hazisomeki?Ha ha ha, watu mmesha ifanya JF kama kijiwe cha kahawa, hata wanaohitaji msaada wa ukweli wanaweza kukosa kwa sababu ya hizi stories za kutunga.
Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa
Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club
Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?
Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu
Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa
Msaada nataka ku appeal mitihani ya taifa
CCP mkuu nadhani patakufaa!hhahahahahWakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10
Matokeo yangu ni kama ifuatavyo
Phys =B
Chem =A
Maths=A
Bios=A
Geog=D
Eng=C
Kisw=B
Hist=A
Civ=C
Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri
Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?
Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni