Niende PCM au PCB ?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
20,072
26,112
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
Piga CBM ndo umefaulu zaidi.
 
Hongera Kwa kufaulu vyema mdogo wangu

Hakuna combination rahisi kufaulu Kama ufikiriavyo hata ukiambiwa HGK ni rahisi basi kaisome uone moto wake

Cha muhimu juhudi tu na kujituma kwenye Masomo Acha kulewa sifa Kwa matokeo uliyoyapata sasa hivi.

Keep in your mind that kila step unayosogea kwenye Maisha yako ni ngumu kuliko pale ulipopita.
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni
Tukuelewejw mleta Uzi????
Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa
Huu Uzi wako na Uzi wa Leo tuchukue lipi?
Mwanzoni ulisema umesoma PCB halafu Leo unaleta matokeo ya kidato cha NNE???
 
Huyu jamaa nimeona uzi huu nikakumbuka uzi wake wa PCB . BAHATI nzuri nyuzi zake kumbe zipo
 
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10


Matokeo yangu ni kama ifuatavyo

Phys =B

Chem =A

Maths=A

Bios=A

Geog=D

Eng=C

Kisw=B

Hist=A

Civ=C


Nishaurini kati ya PCM au PCB niende wapi maana kote naskia ni pazuri

Wapi ni rahisi kufaulu kwa matokeo ya form 6?


Pia nahitaji mniambie tuishen nzuri hapa dar nataka jumatatu nianze rasmi kusoma tuisheni

Mzee wa muhas
 
Back
Top Bottom