Niende na kondom au hela?

Niende na kondom au hela?

kuna watu mna roho ngumu kweli, yaani miaka mitatu unafukuzia demu mmoja...sifanyi huo upuuzi mimi
 
moto2012 ulifanywa Plan B miaka mitatu mtu anakupiga kalenda na bado upo upo tu aiseeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Jiandae kwenda kulipa kodi ya chumba... 60,000 x 6 = 360,000/=. Utalipia soft drinks na baadae lunch mtakayokula (roughly 30,000). Ukitema huo mkwanja wa kodi leo leo, na ukawa mjanja baadae mtaenda kugwegwedana... sh minimum 30,000 chumba, ndom 2,500, (hatataka salama wala dume za 200), lakini pia utamlipia bajaji ya kurudi kwa at least 5,000.

Andaa laki nne na nusu ikiwa ni pamoja na tahadhari (anaweza kuwa na rafiki yake wakati wa lunch)... Siku njema buzi...

Teheeee mkuu aende na 450,000 au elfu 45? Kashakwambia yeye mbahili. Hiyo 45 na chenji itabaki!
 
Hayaaa hayaaa mabosi mliodanganywa na wafanyakazi wenu kwamba leo asubuhi wamepata dharura, mmoja ndo huyu hapa...
 
Mnakutana mgahawani? kwa uoga ulio nao hutaweza kumtoa hapo
 
nenda kamle mkuu, ila bata usimchunguze sana, na unaweza ukabeba kondomu halafu husitumie kwa sababu ya nguvu za genye, ila pesa muhimu lazim utatumia kununulia zanzi with nyagi na kulipia rum, kwahiyo beba zako pesa nenda.
 
mxiiiiiiieeeeeew.

hivi ndege ya Malaysia black box yake ilipatikana.. mwenye ako na updates pliz
 
Wadau samahani, najua leo ni siku ya kazi! Nimeangukiwa sijui niseme na bahati ya mtende au balaa!Saa 10 usiku wa leo mrembo mmoja ambaye nimemsotea zaidi ya miaka 3, kanitumia sms kwa WhatsApp just hi, nkaanza kuchat nae, nikampleka peleka peleka amenipa apointment ya saa 4 Asubuhi hii kwenye kigrosari flani hapa Town.

Mdada ni mtata flani, kwa kuwa ghafla nimeshindwa kumwambia kuwa nataka kumla, ila chating yetu ilikuwa inaelekea huko.

Utata ni kipi nikipe kipaumbele, hela au kondom? Au vyote? Kisema ukweli mimi ni bahili, nikienda na hela nikahonga na kama sikumla nitakuwa nimepata hasara, na nisipokuwa na hela akikubali nitamlaje manake miaka 3 si haba sijui analiwa na nani?

yani wewe ni ----- kabisa, moja, mnaenda kulana in that case beba ndomu, mbili wewe ni mchepuko wake na atakua kaishiwa sasa kaona u hv been theeeere wanting her like a faithful dog(jibwa koko) akakutest tu na hiyo "hi" kucheki kama u r are still interested or u have moved on, so in that case beba hela coz atakua kaishiwa kidogo na raha ukampe.

kitu k1 wanaume hamjuagi wanawake wana hisia pia, hatupendi wanaume ving`ang`anizi unakua huna ladha jaman.

kila la kheri katika msaada wako unaoenda toa leo. tkcr.:israel:
 
anataka akakupige kizinga huyo,chamsingi na sekondary beba condom za kutosha pesa fanya kama umesahau home
 
ahahaha, unaweza pigwa na butwaa ukabaki domo wazi aisee.

Hivi ulishawahi kutongozwa hadharani ukaona ulivyopanic? yaani jitu hata hulijui afu linakupa business card kwenye cocktail kama watu 10 hivi in a group afu anakuambia 'I WANT YOU. IF YOU WANT ME CALL ME'


out of no where? unaweza kukosa jibu aisee
Ha ha ha, kakuta mdada ndio kabeba ndom na hela. hakujua aanzie wapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom