Niende na kondom au hela?

Niende na kondom au hela?

Usiende na hela wala kondomu...

Kwa kuwa unataka kumla basi nenda na sahani, uma, kijiko...halafu usisahau na chachandu kunogesha mlo wako.

wallah lunch itakuwa tamu sana hiyo......hahahaaahhaha
 
Mkuu is this you? Hakuna
kitu Wanawake hawapendi kama papara...watu wengi wanakosa mambo kwa
papara..ungekuwa mjanja ikifika time mpigie mwambie siku ingine...but
Najua Huwezi

tena atakuwa kama yule jamaa aliemaliza kila kitu baada ya kukumbatiwa tu akamwaga debe la wazungu,mi namshauri abebe na suruali ya akiba
 
hehehe, rafiki nilikusoma kimya kimya nikasema leo mshenga nimepatwa. nikawa mpole, nenda mwaya weeh usikose opochuniti
Upo? Kwanini umesoma uzi huu! Chonde ucseme kwa njia kuu kuwa nakaribia kuchepuka. Narudi mainroad kesho tu

anachunika huyo watu8, kila mtu na kisu chake. unajua kale kakisu kadogoooo ka kuwambia ngozi?
Ni rahisi kumchuna mamba kwa ulimi kuliko watu, afu siku hizi sijui kawa boni ageni,anakemea huyo.

nzi kufia dondani zimo bwana
Alafu at the end unaibuka hapo na kaumeme... (rip my friend ambaye alinunua "umeme" kwa kwa misimbazi 20....)...
 
Last edited by a moderator:
wewe jiandae tu uende na mihela, mara nyingi ukiona dalili hizo ujue aliyekuwepo kapigwa chini sasa mhudumiaji hayuko basi aliyejipendekeza anakaribishwa, mpezi wako wa zamani ni mpezi mpya kwa jamaa. and vs!
 
miaka 3 unafukuzia? doooo! kuna watu mna taabu, kumbe ukiona mtu anavuka barabara unapiga hata honi hasikii then anashtuka ghafla usamehe tu ujue kuna watu wamebeba mafaili mengi kichwani mpaka miaka3...ingekuwa mm kila baada ya mwaka kwa mkataba usiotekelezeka naufuta...
 
Mkuu is this you? Hakuna kitu Wanawake hawapendi kama papara...watu wengi wanakosa mambo kwa papara..ungekuwa mjanja ikifika time mpigie mwambie siku ingine...but Najua Huwezi
ha haaa, ushauri gani sasa huu rafiki?
mwenzio kamsotea miaka 3 halafu ahairishe hivi hivi tu?
hapo ana-imagine tuuuuuuuuu.
All in all, nimeshangaa hii mada kutoka kwa mdogo wangu moto2012
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, ushauri gani sasa huu rafiki?
mwenzio kamsotea miaka 3 halafu ahairishe hivi hivi tu?
hapo ana-imagine tuuuuuuuuu.
All in all, nimeshangaa hii mada kutoka kwa mdogo wangu moto2012
Upo? Mbona mimi nilikusotea mda mrefu mwisho nikakubali yaishe? Uanaume ni pamoja na kukubali kuvikosa unavyovipenda
 
Last edited by a moderator:
Upo? Mbona mimi nilikusotea mda mrefu mwisho nikakubali yaishe? Uanaume ni pamoja na kukubali kuvikosa unavyovipenda
ha haaa, rafiki tofauti yetu sisi na wao, sisi hatukupeana appointment......
sasa wao wamekubaliana kabisa wakutane, tena bar, asubuhi kweupeeeeee, hapo kuna kukubali yaishe hivi hivi tu? labda mdada awe hajavutiwa na mkaka, otherwise.......
 
ha haaa, rafiki tofauti yetu sisi na wao, sisi hatukupeana appointment......
sasa wao wamekubaliana kabisa wakutane, tena bar, asubuhi kweupeeeeee, hapo kuna kukubali yaishe hivi hivi tu? labda mdada awe hajavutiwa na mkaka, otherwise.......

Kuna umuhimu wa kupeana appointment now ya kidada na kaka sasa..
 
Kazini huendi.Mwenye matokeo ya arsenal vs Newcastle
DANI ALVES alinifurahisha sana wakati ameenda kuchonga kona akatupiwa ndizi, alichofanya akaokota ndizi akala kwanza alipomaliza ndio akapiga kona.

Somo zuri sana kwa wale wanaopenda ubaguzi wa rangi.

Hawana adabu wanatuona sisi nyani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom