Niende na kondom au hela?

Niende na kondom au hela?

Usiende na hela wala kondomu...

Kwa kuwa unataka kumla basi nenda na sahani, uma, kijiko...halafu usisahau na chachandu kunogesha mlo wako.

Akumbuke na Juisi ya Azam Mango kwa ajili ya kushushia.....
 
Nipo site namsubiri. Akitokea tu napiga picha halafu natupia hapa. Stay tuned
 
sipendi watu wanaowashushia wanawake heshima kama wewe mtoa mada... nimekuchukia sana :boxing::boxing::boxing::boxing:
 
Ni htr unapenda mwanamke halafu unakiri ni bahili cukae na mke wako kama huna owa uwe unapata bure loh
 
Teeeh teeeh buzi mmmh inabidi ujiapnge haswaa.... Tuko katoa mchanganuo mzuri... otherwis utapaishi na mzigo huli....
 
Last edited by a moderator:
sipendi watu wanaowashushia wanawake heshima kama wewe mtoa mada... nimekuchukia sana :boxing::boxing::boxing::boxing:
nameless girl nini kimekuudhi??? jamaa anahitaji ushauri wako coz bado learner asije dondosha gari......
 
Last edited by a moderator:
Hujui kusoma? Nimesotea 3 years. Unataka nichekwe kwa missed opportunity. Nahis leo mashrtsni yske yamepanda. 3yrs bila bila leo saa 10 alfajiri anachat, hhalafu we unataka nisubiri? No thank you

Madem noma, yaani siku akiwa na shida ya ukweli ambayo mwanaume wake hawezi kusaidia anatafuta wale wanaomtongozaga, ukienda utaliliwa shida mpaka utakoma mwenyewe. Na ukimsaidia utasahau hata namba yake atakavyokukaushia.
 
Nipo site namsubiri. Akitokea tu napiga picha halafu natupia hapa. Stay tuned

UUUUWIII USHALAMLALA....mda woote eneo la tukio picha hakuna wala mrejesho

kakubali au utakuja hapa utudaganye
 
nameless girl nini kimekuudhi??? jamaa anahitaji ushauri wako coz bado learner asije dondosha gari......

Wadau samahani, najua leo ni siku ya kazi! Nimeangukiwa sijui niseme na bahati ya mtende au balaa!Saa 10 usiku wa leo mrembo mmoja ambaye nimemsotea zaidi ya miaka 3, kanitumia sms kwa WhatsApp just hi, nkaanza kuchat nae, nikampleka peleka peleka amenipa apointment ya saa 4 Asubuhi hii kwenye kigrosari flani hapa Town.

Mdada ni mtata flani, kwa kuwa ghafla nimeshindwa kumwambia kuwa nataka kumla, ila chating yetu ilikuwa inaelekea huko.

Utata ni kipi nikipe kipaumbele, hela au kondom? Au vyote? Kisema ukweli mimi ni bahili, nikienda na hela nikahonga na kama sikumla nitakuwa nimepata hasara, na nisipokuwa na hela akikubali nitamlaje manake miaka 3 si haba sijui analiwa na nani?​




  • Hivi huyu mwanamke anaeongelewa hapa, ni mdoli? chombo cha starehe? ama binadamu asiye na thamani?
 
[/COLOR]

Dah!!
Mzima best?

Mbona waguna na kuna mtu ataka kuliwa jamani....:smile-big:

Miye mzima wa afya tele sijui weye ulo mbali na upeo wa fikra zangu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom