Razacq Gates
New Member
- Dec 20, 2018
- 2
- 1
Serikali kupitia mamlaka yake ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilitoa muongozo wa kupata namba yako ya NIDA kwa njia ya kielectronic kama tayari MTU kishafika kwenye mamlaka halisi na kujisajili lakini anasubilia namba.
Cha kushangaza ,Unapo andika ombi La kupata namba huambiwa ombi lako bado linashughulikiwa kwa msaada zaidi piga namba zifuatazo " .... Lakini cha kushangaza ukipiga namba zilizotajwa na mamlaka husika hazipatikani na zingine zimezuiliwa huduma na Mfumo wa alama za vidole.
Swali langu ni je Vipi NIDA inatoa namba ambazo zenyewe pia zimefungiwa na nyingine kutokupatikana kabisa? Hawaoni ni kufanya mpango wa usajili kua mgumu zaidi ?
Cha kushangaza ,Unapo andika ombi La kupata namba huambiwa ombi lako bado linashughulikiwa kwa msaada zaidi piga namba zifuatazo " .... Lakini cha kushangaza ukipiga namba zilizotajwa na mamlaka husika hazipatikani na zingine zimezuiliwa huduma na Mfumo wa alama za vidole.
Swali langu ni je Vipi NIDA inatoa namba ambazo zenyewe pia zimefungiwa na nyingine kutokupatikana kabisa? Hawaoni ni kufanya mpango wa usajili kua mgumu zaidi ?