FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Nimekosa neno hapa
Naomba kuuliza hivi miaka 70 perfomance bado ipo?
Naomba kuuliza hivi miaka 70 perfomance bado ipo?
Sana tu, are you curious?Nimekosa neno hapa
Naomba kuuliza hivi miaka 70 perfomance bado ipo?
Sijiheshimu na sijatulia kivipi?Mbona mie hata hiyo avatar sijaiweka?Loh
Habari wana JF,
Ni mara yangu ya kwanza ktk jukwaa hili jamani, nipeni ushauri katika hili.
Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Baba mkwe wangu alikuja kwetu kwa ajili ya kutibiwa toka mwaka jana. Ni mtu mzima kwa kweli takribani miaka 70. Kiukweli keshapona kabisa, na mkewe yuko kijijini. Nina msichana wa kazi ambae ni ndugu yangu, ana miaka 16 (undugu wa mbali).Juzi asubuhi kabla sijaenda job niliingia rum kwa dada na kukuta AMELALA NA BABAMKWE wangu full naked! Kwa vile walikuwa wamelala fofofo (mida kama ya 11 asubuhi) hawakunisikia. Nilirudishia tu mlango na kuondoka. Hadi sasa sijamuuliza yule ndugu yangu na wala mume wangu sijamwambia. Naona aibu hata kuwashirikisha watu wanaomfahamu huyu baba. Ebu nisaidieni jamani, nikae kimya au nifanyeje? Baba haoneshi hata dalili ya kurudi kijijini ingawa keshapona.
Nipeni ushauri wenu waungwana.
duuu aiseee itabidi mwambie mmeo akakagua siku moja chumba anacholala mshua wake akimkosa ndio unampa full news ata yeye atakuwa hanalakubisha kiaina tu halafu itabidi ukampime mdogo wako mimba usijeleta uzi mwengine hapa wa mimba ya baba mkwe kwa mdogo wako..
It looks fine siyo? gonga "like" basi kipapatio? Yeah sure mumeo lazima umwambie kwanza, how is he? does he seem to trust you much? That counts too.That looks fine ila kwanza I have to talk to my husband coz hajui hii kitu.
Sorry, What i meant to say is that you have to be very careful, It's a tricky situation. On one hand ni Baba Mkwe wako the other hand its a young girl who you trust to leave your little child with while you are at work. You dont wanna mess with either of the two Trust me. So Chakufanya wewe chukua likizo kazini, mwambie mme wako unataka kwenda kijijini kumsalimia mama mkwe na mkmpelekea mjukuu amuone. Automatically mtadiscuss issue ya Baba mkwe uende nae. Ukifika kijiji kaa siku tatu tuu Mtose Baba mkwe huko huko. Rudi wewe mtoto wako na huyo dada wa kazi! Halafu utamuadisia mumeo baadae kuhusu hayo yaliotokea. Kumbuka ni muhimu umuambie ili nae asilmle huyo mtoto. Kinaelekea ni kicheche hicho nacho. Good day.
Ungepata hata akili ya kuwapiga picha japo na simu yako ya mkononi. Hapo lazima utafute njia yakumuondoa babamkwe au tena mlete mamamkwe japo utakuwa unaongeza familia. Wanaume noma miaka70! Mmh
The old man was ill. Now he is getting better. Let your house girl take care of him. After all that is why patients get well faster when looked after by pretty nurses.
Give him some room and he will leave in due time. Dont send him away. The least you can do is to call your mother in law to come and take care of hi.
Nimekosa neno hapa
Naomba kuuliza hivi miaka 70 perfomance bado ipo?
Habari wana JF,
Ni mara yangu ya kwanza ktk jukwaa hili jamani, nipeni ushauri katika hili.
Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Baba mkwe wangu alikuja kwetu kwa ajili ya kutibiwa toka mwaka jana. Ni mtu mzima kwa kweli takribani miaka 70. Kiukweli keshapona kabisa, na mkewe yuko kijijini. Nina msichana wa kazi ambae ni ndugu yangu, ana miaka 16 (undugu wa mbali).Juzi asubuhi kabla sijaenda job niliingia rum kwa dada na kukuta AMELALA NA BABAMKWE wangu full naked! Kwa vile walikuwa wamelala fofofo (mida kama ya 11 asubuhi) hawakunisikia. Nilirudishia tu mlango na kuondoka. Hadi sasa sijamuuliza yule ndugu yangu na wala mume wangu sijamwambia. Naona aibu hata kuwashirikisha watu wanaomfahamu huyu baba. Ebu nisaidieni jamani, nikae kimya au nifanyeje? Baba haoneshi hata dalili ya kurudi kijijini ingawa keshapona.
Nipeni ushauri wenu waungwana.
..FL1, Saikolojikale inadaiwa Mwanaume anapofikia umri kama huo 60-70 huwa anapata hamu sana ya kufanya mapenzi, na siku hizi kuna ma-Viagra na dawa za miti shamba, so performance sio issueNimekosa neno hapa
Naomba kuuliza hivi miaka 70 perfomance bado ipo?