TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Hello JF,
Moja kwa moja kwenye bandiko
Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja.
Hivyo kutokana na biashara kukua nimefungua zaidi ya maduka 4 ya jumla katika mikoa ya Tanga Arusha Mwanza
Dar ndio mean Office ilipo
Biashara ambazo nazi-manege
Tomato, pemepers biscuits, kalamu, Super Grue, madaftari, pipi Big G, nk.
Changamoto ipo kwenye kulinda wafanyakazi wasiibie sana hadi kupelekea biashara kufa
Je, ni mifumo gani ya ulinzi niiweke ili kulinda Mahesabu pamoja na store?
Moja kwa moja kwenye bandiko
Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja.
Hivyo kutokana na biashara kukua nimefungua zaidi ya maduka 4 ya jumla katika mikoa ya Tanga Arusha Mwanza
Dar ndio mean Office ilipo
Biashara ambazo nazi-manege
Tomato, pemepers biscuits, kalamu, Super Grue, madaftari, pipi Big G, nk.
Changamoto ipo kwenye kulinda wafanyakazi wasiibie sana hadi kupelekea biashara kufa
Je, ni mifumo gani ya ulinzi niiweke ili kulinda Mahesabu pamoja na store?