Ni yupi Mwanapinduzi wa Teknolojia kati ya TESLA na EINSTEIN.

Photo elevtric effect ilimpatua eistein Nobel prize na ndio uvumbuzi ulio revolutionize solar technology na dunia inafaidi mpaka leo.
Shida ta TESLA alikuwa hajali sana science culture hivyo teknolojua zake nyingi zilikuwa kichwani kwake hajapublish gunduxi zake zaidi patent hivyo baada ya kufa mbo mengi ya Teska hayana record.
Mfani teska ni mtu wa kwanza kugundua radio waves,x-ray, wireless technology. Wire less electric energy(Tesla tower), Mobile tower,fesla free energy device(Tesla coil)
Maabara ya tesla iliungua na kupoteza teknolojia nyingi ambazo alikuwa hajazi andika kwenye vitabu.
Wamarekani wanasemaga Tesla was a crazy geneus japo einstein nae wanadai alikuwa crazy( physics sio nzuri kuizama sana).
Kwangu mimi Tesla alikuwa mwamba wa electromagnetism wakati Einstein ni Futher of quantum/ modern physics (atomic na nuclear physics)
"Just as there's a gap between observing something and knowing how it works, there's a gap between knowing how something works and being able to do anything useful with it."
Umeme wa Solar kwa mara ya kwanza unasemekana ulianza kutumika kwenye miaka ya 1950

 
Wakuu hii Ishu ya nani ni bora zaidi kati Tesla na Eistein katika Ulimwengu wa Technology, Imekuwa ni tata Sasa, kila Mtu ana mawazo yake kuhuwa wababe hawa wawili. Naomba Wataalam mtumalizie mgogoro huu, nani ni genious Kumzidi mwenzie.
Einstein alijibu scientific myth questions hasa za wakati wake (time, space nk) kwa tumia science na mathematics.
Lakini Tesla alizitoa nadharia alizokuwa nazo kichwani na kuziweka kwenye physical world(realy world).
 
Huoni tatizo!!???
ww kina Tesla na Newton utawajulia wapi!!??
ww jikite na akina Shaban Robert
... wewe kumjua Tesla au Newton imeliongezea nini taifa? Kwamba wote waliosoma HKL ni wajinga isipokuwa wewe unayemjua Tesla? Kwamba wataalamu wa elimu walioona umuhimu wa HKL ni wapuuzi isipokuwa wewe unayemjua Newton? Huna akili!
 
Mabomu ya nuklia kwenye vita vya pili vya dunia, mgunduzi alikuwa ni Eistein. Soma hapa

Albert Einstein
Old Grove Road
Peconic, Long Island
August 2nd, 1939


F.D. Roosevelt
President of the United States
White House
Washington, D.C.



Sir:


Some recent work by E. Fermi and L. Szilard, which has been communicated to me in manuscript, leads me to expect that the element uranium may be turned into a new and important source of energy in the immediate future. Certain aspects of the situation which has arisen seem to call for watchfulness and if necessary, quick action on the part of the Administration. I believe therefore that it is my duty to bring to your attention the following facts and recommendations.


In the course of the last four months it has been made probable through the work of Joliot in France as well as Fermi and Szilard in America--that it may be possible to set up a nuclear chain reaction in a large mass of uranium, by which vast amounts of power and large quantities of new radium-like elements would be generated. Now it appears almost certain that this could be achieved in the immediate future.


This new phenomenon would also lead to the construction of bombs, and it is conceivable--though much less certain--that extremely powerful bombs of this type may thus be constructed. A single bomb of this type, carried by boat and exploded in a port, might very well destroy the whole port together with some of the surrounding territory. However, such bombs might very well prove too heavy for transportation by air.


The United States has only very poor ores of uranium in moderate quantities. There is some good ore in Canada and former Czechoslovakia, while the most important source of uranium is in the Belgian Congo.


In view of this situation you may think it desirable to have some permanent contact maintained between the Administration and the group of physicists working on chain reactions in America. One possible way of achieving this might be for you to entrust the task with a person who has your confidence and who could perhaps serve in an unofficial capacity. His task might comprise the following:


a) to approach Government Departments, keep them informed of the further development, and put forward recommendations for Government action, giving particular attention to the problem of securing a supply of uranium ore for the United States.


b) to speed up the experimental work, which is at present being carried on within the limits of the budgets of University laboratories, by providing funds, if such funds be required, through his contacts with private persons who are willing to make contributions for this cause, and perhaps also by obtaining co-operation of industrial laboratories which have necessary equipment.


I understand that Germany has actually stopped the sale of uranium from the Czechoslovakian mines which she has taken over. That she should have taken such early action might perhaps be understood on the ground that the son of the German Under-Secretary of State, von Weizsacker, is attached to the Kaiser-Wilhelm Institute in Berlin, where some of the American work on uranium is now being repeated.



Yours very truly,
Signature

Albert Einstein
Hiyo habari umeisoma mkuu? Wapi umeona imeandikwa Einstein aligundua bomu la nyuklia. Manhattan project pale Los Alamos national laboratory ilikuwa kazi gani kama lilishagunduliwa.

Einstein alikuwa populist, ndio maana nikasema bayana kwamba Tesla hakuwa chaguo la wafu ila Einstein alikuwa kipenzi cha watu popote. Ushawishi wake ulikuwa mkubwa mpaka Wayahudi wanamtaka awe Rais wao. Einstein akitumika kuandika barua ya kumshawishi Rais Roosevelt kukubali mradi wa nyuklia, sababu mojawapo ni kwa vile yuko aware na project za mwanzo za nyuklia kule Ujerumani ikiongozwa na Werner Heinsenberg (yule wa Heinsenberg uncertainty principle). Einstein aliaminiwa na serikali ila hakupewa security clearance na jopo la wanasayansi pale Los Alamos hawakumtaka. Hilo bomu aligundulia wapi?
 
Kuna Siku Eistein aliuzwa swali na mwandishi, Unajisikiaje kuwa wewe ndio binadamu mwenye akili zaidi anayeishi kwa sasa"
Eistein akajibu "Hilo swali anapaswa kuulizwa Bwana TESLA sio Mimi"
This has been proven wrong.. The story had never happened. Usiwe unaamini kila unachoambiwa fanya research na wewe
 
Hiyo habari umeisoma mkuu? Wapi umeona imeandikwa Einstein aligundua bomu la nyuklia. Manhattan project pale Los Alamos national laboratory ilikuwa kazi gani kama lilishagunduliwa.

Einstein alikuwa populist, ndio maana nikasema bayana kwamba Tesla hakuwa chaguo la wafu ila Einstein alikuwa kipenzi cha watu popote. Ushawishi wake ulikuwa mkubwa mpaka Wayahudi wanamtaka awe Rais wao. Einstein akitumika kuandika barua ya kumshawishi Rais Roosevelt kukubali mradi wa nyuklia, sababu mojawapo ni kwa vile yuko aware na project za mwanzo za nyuklia kule Ujerumani ikiongozwa na Werner Heinsenberg (yule wa Heinsenberg uncertainty principle). Einstein aliaminiwa na serikali ila hakupewa security clearance na jopo la wanasayansi pale Los Alamos hawakumtaka. Hilo bomu aligundulia wapi?
Ni kweli hakugundfua bomu ila alikuwa wa kwanza kuwa na idea kwamba uranium inaweza ikazalisha nishati hata kuweza kutengeneza bomu, na hapo ndipo alipomwandikia Rais Roosevelt. Kwa hili naomba tusimnyangánye kisa tu teknolijia inayotumika sasa ni ya Tesla. Umeme wa solar ni hati miliki ya Einstein na alipata Nobel Prize kwa ajili ya hilo, mwaka 1921. Mwaka uliofuata tena rafiki yake Niels Bohr wa Copenhagen University naye akapata Nobel Prize ya Physics kutokana na theory yake kwenye Hydrogen atom, baada ya kufanya study kuhusiana na electron na kuisambratisha kabisa theory iliyokuwepo awali ya Dalton (Dalton's Atomic Theory).
Naomba kwenye hili la nuclear Eistein tusimnyang'änye
Eistein alikuwa mbaya sana sema tu hadi muda huu theory zake bado hatujawa na teknoloji ya kuweza kuzi--accommmodate.
Uzuri wa Tesla yeye alikuwa anafanya mambo watu wanaanza kuyaishi, hata machinga wa Manzese alikuwa anayaishi na anayaishi hadi leo

"Just as there's a gap between observing something and knowing how it works, there's also a gap between knowing how something works and being able to do anything useful with it."
 
"Just as there's a gap between observing something and knowing how it works, there's a gap between knowing how something works and being able to do anything useful with it."
Umeme wa Solar kwa mara ya kwanza unasemekana ulianza kutumika kwenye miaka ya 1950

Photo electric effect ndio iliofungua njia, ilizinduliwa 1921.
Hao wagunduzi wa solar walipata mwanga kutoka kwa eistein.
Ni kama maxwell electromagnetic equations ambazo zolifungua njia kwenye AC electricity. Bila max well ingekuwa ngumu sana kuunda motor nk.
Ni kama miaka hii kampuni zinaunda quantum computer ambazo msingi wake mkuu ni quanyum physics.
Maendeleo ya quantum physics yanasaidia uundaji wa quantum computer.
Kwa hio lazima kuwe na mwanga ili kuona mambo mengi.
 
Ni kweli hakugundfua bomu ila alikuwa wa kwanza kuwa na idea kwamba uranium inaweza ikazalisha nishati hata kuweza kutengeneza bomu, na hapo ndipo alipomwandikia Rais Roosevelt. Kwa hili naomba tusimnyangánye kisa tu teknolijia inayotumika sasa ni ya Tesla. Umeme wa solar ni hati miliki ya Einstein na alipata Nobel Prize kwa ajili ya hilo, mwaka 1921. Mwaka uliofuata tena rafiki yake Niels Bohr wa Copenhagen University naye akapata Nobel Prize ya Physics kutokana na theory yake kwenye Hydrogen atom, baada ya kufanya study kuhusiana na electron na kuisambratisha kabisa theory iliyokuwepo awali ya Dalton (Dalton's Atomic Theory).
Naomba kwenye hili la nuclear Eistein tusimnyang'änye
Eistein alikuwa mbaya sana sema tu hadi muda huu theory zake bado hatujawa na teknoloji ya kuweza kuzi--accommmodate.
Uzuri wa Tesla yeye alikuwa anafanya mambo watu wanaanza kuyaishi, hata machinga wa Manzese alikuwa anayaishi na anayaishi hadi leo

"Just as there's a gap between observing something and knowing how it works, there's also a gap between knowing how something works and being able to do anything useful with it."
Mabomu ya nuclear yanatumia enstain equations . Einstein is the father of modern physics ambayo ndio msingi wa nuclear energy.
Huwezi jadili modern physics bila einstein.
Eibstein alikataa kushiriki Mangattan project jqa sababu alijua madhara ila wanasayansi walitumia theory zake pamoja na za dirac na heinsberg kuunda hio kitu.
Ni kweli Nuclear energy sio wazo la mtu mmoja ila Einstein ana mchango mkubwa sana katika nishati za nuclear.
Bomu la nuclear/atomic limo kwenye akili ya Einstein
 
Mabomu ya nuclear yanatumia enstain equations . Einstein is the father of modern physics ambayo ndio msingi wa nuclear energy.
Huwezi jadili modern physics bila einstein.
Eibstein alikataa kushiriki Mangattan project jqa sababu alijua madhara ila wanasayansi walitumia theory zake pamoja na za dirac na heinsberg kuunda hio kitu.
Ni kweli Nuclear energy sio wazo la mtu mmoja ila Einstein ana mchango mkubwa sana katika nishati za nuclear.
Bomu la nuclear/atomic limo kwenye akili ya Einstein
We ndugu yangu acha kuna vichwa ambavyo Mungu aliviweka hapa duniani, huyu jamaa hakuwa wa kawaida.
Baada ya kuwa amefariki, daktari mmoja kamfanyia upasuaji kisirisiri na kuiba ubongo wake akawa anakaa nao kwa kificho huku akiwa anajaribu kuufanyia utafiti aone kulikuwa na tofauti gani kati ya ubongo wake yeye Einstein na ule wa watu wengine
 
Tesla universe codes 369. Hesabu yake ni maajabu
Hii idea siijui mkuu, sijawahi kikutana nayo.
Ndio ilioleta ac motor? Explain it.
Au ndio magic numbers ambazo watu wa spirtual world wanaizingumziaga?
Naona hata transistor ina point hizo 3, hata qubit ina hizo namba tatu.
Hebu nidokeze kidogo pengine nitaunga dots.
 
Kila mwanasayansi anaimpact yake hakuna mdogo wala mkubwa kwa mwenzake. Ila nisema machache juu ya huyu Nikola tesla kama siye yy leo umeme huu unaofika majumban wa AC MKONDOGEU usingekuwepo au tungechelewa kuuona. Inasemekana kwamba laiti NIKOLA TESLA angeishi muda kidogo tuu angegundua namna ya kufikisha umeme majumbani pasina kutumia waya yaaan tungefikishiwa umeme kama vile internet au kwa njia ya bluetooth. Basi MUNGU alimpenda zaidi. Ni imani yangu haya mambo ya umeme wa samia wa kuchangia nguzo mara hivi mara vile NIKOLA TESLA angetuokoa na hilo.
Albert Einstein sio wa kubeza jamaa nae ni mtu hatari kwenye ulimwengu wa Nishati na sayansi kwa ujumla.
Mkuu electric wireless techonology has alredy been realised sio siri tena hio kitu ni halisi kabisa.
Kuna hadi mnaijeria ameweza kuunda coili inayosambaza energy na kuitumia kuchaji vifaa vyake.
Kuna mwanasayansi wa ki Irani ameweza kabisa to transfer electic waves na kuwasha mataa, hii habari ipo you tube kitambo.
Tatizo kubwa ni kampuni zilizopo zinazomiliki teknolojia iliopo zibahofia kufa hivyo ziwaweka vimikwazo kwa teknolojia mpya.
Time will tell.
 
Hii idea siijui mkuu, sijawahi kikutana nayo.
Ndio ilioleta ac motor? Explain it.
Au ndio magic numbers ambazo watu wa spirtual world wanaizingumziaga?
Naona hata transistor ina point hizo 3, hata qubit ina hizo namba tatu.
Hebu nidokeze kidogo pengine nitaunga dots.
Why not google (by quoting) the statement associated with the numbers 3-6-9?
 
Kweli kabisa, Elon hatii mguu kwa Tesla ni mbingu na ardhi
Elon atatupeleka in deep space very soon.
Zile rocket ni mkono wake mwenyewe asije kukudanganya mtu.
Kasome elon musk rocket technology.
Ni idea zake na ana patents kabisa za michoro ya rocket.
Elon ni modern scientist anakuwa kama chief engineer Tesla alikuwa kizamani sana hadi kuchonga chuma alifanya mwenyewe siku hizi kuna technician wa kutengeneza vitu injinia kazi yake kubwa ni kudizaini na kusimamia.
Elon Musk is more advanced Tesla in a modern world.
Rlon abataka kuibadilisha kila teknolojia unayoijua wewe kuanzia simu,gari,ndege,meli,train,wepon, rocket, na kuleta teknolojua mpya kabisa kama brain chip ambayo utaweza ku upload your consiousness to the internet.
We going to be real cyborg.
Tuombe mungu tuwe hai miaka ijayo tutashuhudia mambo mapya na ulimwengu mpya.
 
Elon atatupeleka in deep space very soon.
Zile rocket ni mkono wake mwenyewe asije kukudanganya mtu.
Kasome elon musk rocket technology.
Ni idea zake na ana patents kabisa za michoro ya rocket.
Elon ni modern scientist anakuwa kama chief engineer Tesla alikuwa kizamani sana hadi kuchonga chuma alifanya mwenyewe siku hizi kuna technician wa kutengeneza vitu injinia kazi yake kubwa ni kudizaini na kusimamia.
Elon Musk is more advanced Tesla in a modern world.
Rlon abataka kuibadilisha kila teknolojia unayoijua wewe kuanzia simu,gari,ndege,meli,train,wepon, rocket, na kuleta teknolojua mpya kabisa kama brain chip ambayo utaweza ku upload your consiousness to the internet.
We going to be real cyborg.
Tuombe mungu tuwe hai miaka ijayo tutashuhudia mambo mapya na ulimwengu mpya.
Apple kuwa na patents za technology haina maana ni idea za mwanzilishi, hata thomas edson alipatent vitu ambavyo hakuvumbua vilivumbuliwa na maengineer aliokuwa kawaajili.
Elon Musk maengineer wanamsifu kwamba anaweza jihabarisha akawa na uelewa mkubwa wa tech za makampuni anayosimamia. Hivyo usidhani zile tech za rocket kazivumbua yeye.
Anaajili the best engineers on the market kufanya research na kuja na solns
 
... wewe kumjua Tesla au Newton imeliongezea nini taifa? Kwamba wote waliosoma HKL ni wajinga isipokuwa wewe unayemjua Tesla? Kwamba wataalamu wa elimu walioona umuhimu wa HKL ni wapuuzi isipokuwa wewe unayemjua Newton? Huna akili!
Ndugai alisoma HKL angalia kama taifa tulipofika majanga matupu!
 
Ndugai alisoma HKL angalia kama taifa tulipofika majanga matupu!
... sasa usitake kudharau ambao hawakusoma ambacho ulisoma wewe kwamba wewe ni superior na wao ni inferior. Ndugai (HKL) kuwa majanga haimaanishi ambao sio HKL wote wako perfect au HKL wote ni majanga. Hakuna anayejua kila kitu duniani lazima kuheshimiana katika fani. Ugomvi wangu uko hapo.
 
Back
Top Bottom