Ni yupi Mwanapinduzi wa Teknolojia kati ya TESLA na EINSTEIN.

Nikola Tesla angekuwa amepata support aliyopata Eisntein, angefanya maajabu mara 10 ya haya.

Pamoja na changamoto zote alizokutana nazo, bado alikuwa anazidi kugundua.

What if angepata VC kama wa sasa, dunia ingekuwa wapi?

Si ajabu kuna gunduzi hakuweza kuzifanya kwasbabau ya changamoto alizopitia.

Dunia haikumtendea haki Nikola Tesla.
 
Hadi sasa hivi wanasayansi wanaumiza kichwa kufanya hiyo theory ya kwenda kesho au kurudi jana iwe kweli ila bado hawajafanikiwa.Ila kitu walichofanikiwa katika hiyo theory ni kuamini kuwa ni jambo linawezekana,kwa hiyo ni suala la muda tu.

Einstein alikuwa ni kitu kingine mkuu.Imagine alidai kuwa kuna kitu kinaitwa black holes huko kwenye galaxy za mbali na kuelezea jinsi zilivyo.Miaka karibia mia mbele zikapelekwa telescope huko juu na ikajulikana kuwa ni kweli na kila kitu alichosema kuhusu black holes kipo vilevile.


Imagine Einstein aligundua kuwa ulimwengu unatanuka sijui kwa speed ya mwanga bila kutumia kifaa chochote kile wala technolojia yoyote ile

Watu wa zamani walikuwa ni hatari sana.Imagine hawakuwa na technolojia yoyote ile lakini waligundua kila kitu kuhusu anga za mbali kama vile jinsi sayari zinavyozunguka,jinsi zinavyovutana zenyewe kwa zenyewe pamoja na jua na mambo mengine mengi.

Hi n zaid ya noma
 
Unaweza kusema Newton alipelekea mapinduzi katika " modern means of transport" hasa kwenye usafiri wa anga hapo Newton ndio kupiga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vile ambavyo walikuwa wanaviona kuwa ni "the obvious", ISAAC NEWTON yeye alividhihirisha kuwa haviko rahisi kama walivyokuwa wanaviona, vilikuwa very complicated than they ever had a thought of.
Mbali na hayo, Quantum Mechanics imebase kwenye Newtonian Mechanics, iliibuka baabda ya Classical Mechanics kuwa imeshindwa ku-explain baadhi ya complkicated phenomena kwenye Fizikia kama vile wave-particle duality. Kwa hiyo tunaweza kusema bila Newtonian Mechaniics, Quantum Mechanics isingekuwepo. Hapo ndiyo unaweza ukaona ni kwa kiasi gani ISAAC NEWTON ni mwanasayansi wa pekee sana kwenye ulimwengu wa Fizikia
 
Motor ni neno la Kiswahili?
Aliebkwambia kiswahili nani, kwanza kiswahili hakina neno motor bali wanalitamka kwa kiswahili. Kama wewe ilunajali kiswhili andika wewe kwa kiswahili mimi niko huru kuandika navyotaka kama hutaelewa sio muhimu wapo watakao elewa kwa hio usinilazimishe kufuata unavotaka physics haikuandikwa kwa kiswhili au wewe ulisoma kwa kiswhili uniambie motor kwa kiswhili ni nini?
 
Tesla na Einstein hawafanani. Tesla alikuwa mvumbuzi (inventor) hasa katika masuala ya umeme wakati Einstein alikuwa mwanafizikia wa masuala ya nadharia (theoretical physicist).

Ni vigumu kuwalinganisha sababu ya utofauti wa kazi ambazo walikuwa wanafanya.

Ili kuwalinganisha watu wawili, ni vyema zaidi kuzingatia kipimo ama 'factor' moja muhimu, ambapo ulinganisho ungepaswa kuwa aidha wa kati ya wavumbuzi wawili tofauti ama kati ya wanafizikia wawili tofauti.

Lakini, wote wamekuwa na mchango mkubwa sana katika hayo mapinduzi ya teknolojia.
 
Case closed...
Screenshot_20220114-013318_Samsung%20Notes.jpg
 
Back
Top Bottom