Eti huku mtaani kuna tetesi kwamba wizara ya fedha ina kawaida ya kupendelea graduates walio hitimu kwenye vyuo vyake vya IFM,IAA na TIA katika kuwapatia ajira kwenye mashirika yalyo chini yake,je hzo tetes ni za kwel au ni maneno ya wakosaji 2?
Eti huku mtaani kuna tetesi kwamba wizara ya fedha ina kawaida ya kupendelea graduates walio hitimu kwenye vyuo vyake vya IFM,IAA na TIA katika kuwapatia ajira kwenye mashirika yalyo chini yake,je hzo tetes ni za kwel au ni maneno ya wakosaji 2?
fanyia kazi tetesi zako mkuu, ninao wafaham mimi walimaliza UDSM na wapo huko wizarani, inawezekana tetesi hizo zikawa za kweli au za uongo, fuatilia tu utajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.