Mimi naomba hizi zenye maneno haya,

-"Haya twendeni wote kule betlehemu tukamwone mkombozi wetu"

-"Mwanadamu kumbuka u mavumbi" ni wa majivu huu

-"Nitarudi na kusema,baba yangu nisamehe,nimekosa kwa imani na mbele....."
Mwenye hizi nyimbo tafadhali sana!
 
Mimi naomba hizi zenye maneno haya,

-"Haya twendeni wote kule betlehemu tukamwone mkombozi wetu"

-"Mwanadamu kumbuka u mavumbi" ni wa majivu huu

-"Nitarudi na kusema,baba yangu nisamehe,nimekosa kwa imani na mbele....."
Mwenye hizi nyimbo tafadhali sana!
 
Hawa wanaitwa ulyankuru barabara ya 13 arusha, "vumilieeeni iiiiiiiiii iiiii, vumilien hiiiii hiiii,. Wimbo mwingine wakt ule wa nuhuuuuuu.
 
nenda utube search, KWA VIUMBE VYOTE BARABARA 13 ULYANKULU, YESU ALIPOKUWA AMEKETI. ni wimbo mzuri sana, ninetoka kuusikiliza
 
Mkuu KIOO, naomba nyimbo kadhaa kama unazo itapendeza sana
1: MZESE CREW ft JUMA NATURE -siku nzuri inavyokwenda
2: HARDMAN ft H-BABA ( wimbo nimeusahau kidogo, una mahadhi ya rumbha ,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…