Ni wife material ila hana hips

Ni wife material ila hana hips

hips tena, chagua unapenda hips au papuchi? ana hips lakini hana papuchi chagua
 
Wewe wataka mke au mahips, you cant have both most of the time. Mimi nakushauri chukua mke hips zauzwa dukani...mchina kaleta chupi za mahips, kwahiyo zote uzionazo njiani sio original Big Lion
 
Last edited by a moderator:
Kwani hizo hips zinakusaidia nn wkt ushapima mashine ukaona iko poa....
 
Kila kitu ni tafsiri tu kama unaona hafai kisa hips ila ungemtafiri vzr usingemuona hana hips.OA mwenye hips tukumegeee.
 
Ndiyo ninyi mnaoaga mapoligoni halafu mnayatesa kwa kuchepuka!
Muache dada wa watu we endelea kutafuta utapata mwenye hips na mzuri kama malaika!
 
hivi hata wanawake nao wanatuchambua namna hii jaman?? mara hips mara tako mara figure cjui shepu, rangi, unene wembamba sura macho tumbo urefu nywele miguu lips kope nyusi maji, mnato imetumika kiasi gan nk.. tutafika kweli kama mtu akiwa na nyusi fupi tu anapigwa chini!
 
kahaba ni kahaba tuu....bado hujakuwa wewe,,,,wewe si unazo sasa y wataka na yeye awenazo?
 
Unaoa hips or mwanamke
Mbona na yy kule wasap group anasema una kibamia......
Kama hips kaoe wabantu
 
Hahhahaah...watu cku hizi wanaoa mahipsi co mwanamke, loooooh!!!mtaoa hadi nyayoo kwa kuchagua chagua..ww unazo.?
 
Watu wanaoana kwa sababu ya tabia,mienendo,mtazamo na fikra sanjali na utimamu wa akili siyo umbo..kwa sababu kuna leo na kesho,hujui hilo hips kalipata vipi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom