Ni wife material ila hana hips

Ni wife material ila hana hips

Mleta uzi nina wasiwasi kama uko tayari kwa kuingia maisha ya ndoa. Hujui kama mke ni zaidi ya hips, unaweza kupata mwenye hips na hizo hipsi ukaziona ni mauzimbe fulani hivi na unaweza kumpata asiye nahips lakini kwa furaha ya ndoa akapata hipsi mpaka makalio ya kufa mtu ukabaki unadondosha mate ya uchu kila akikatiza mbele yako.
 
machina yupo mwambie akapate dawa uoe hips
 
umenikumbusha rafiki yangu mmoja ni mwalimu wa sekondari sasa anazeeka bila kuoa kisa anatafuta mke mwenye hips.Yaani vijana wa siku hizi ni shiiiiida!!
 
Hatimaye nimepata jibu sahihi
 

Attachments

  • 1422627123546.jpg
    1422627123546.jpg
    54.4 KB · Views: 127
usimuoe maana itakubidi uwe na mchepuko wenye hips ili ufurahi...wenye wanamuhitaji watamuoa mkuu
 
Duuuuu Jana umemuonja leo uzi upo Jf kweli wewe mtoto ukikua utaacha sasa na yeye unataka akutangaze mapungufu yako Jf?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom