Ni wife material ila hana hips

Ni wife material ila hana hips

There are invisible important things that man should take over those which are visible!!!
 
Ni mzuri kwa sura na ana tabia nzuri anapenda kuvaa magauni na nguo zisizombana ili umbo lake lisionekane. Jana jumapil alinikubalia mechi ndo nikaona alivo.

Mwenzenu nilishaamini hapa nimepata mke sa kumbe binti hana hips hata kidogo ambacho ndo kitu kinachonipagawisha zaidi kwa mwanamke. Nashindwa kufanya maamuzi nimuoe tu au nimuache nitafute mwingine.

badala ya kutafuta mke we unatafuta mahips.mahips mengine hayo....haya kila la kheri
1006088_799465913438670_1231601619385527229_n.jpg
 
then unaweza kuta huyo jamaa nae pesa hana ,sura kama yangu anataka demu kama malaika utamtoa wapi

Hatuwezi kupata watu wakamilifu kwenye kila idara...lazma kutakuwa na utofauti cha msingi watu wanapendane kwa dhati.
 
uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia aaa....naimba tu...
 
Usimpotezee muda wake. Endelea kutafuta mwenye hips. Kwa kuwa unapenda hips ukimuoa utakuwa una chepuka kila mara.

Ingawa ukikua utagundua kua mke ni zaidi ya umbo la nje.

nachukiaga sana hili neno la kudai kua eti kumpotezea muda'...labda unamaanisha nini?
 
Moyo wa mtu kweli kichaka...yaani wakati binti akijihesabia kapata, mwenzake ndo kwaaaanza anatafuta ushauri wa kumuacha. Mbaya sana hii.... Kina dada hebu jitahidini kuzibana hizo papuchi na kutoruhusu kila mwanamme kujiwekea alama katika k zenu
 
sasa kwanini hua mnajiremba?

urembo ni ziada tu.....tunajiremba kama ziada tu lakini siyo kitu cha muhimu sana kiasi kwamba mwanamke akikikosa basi anakuwa hafai......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom