Ni wazi Serikali haina mikakati ya tatizo la Ajira kwa vijana

Wanasiasa wote ndani ya CCM na upinzani wamekuwa wakilitaja tatizo la ajira lakini kwa hotuba ya leo ya Rais Samia, ni wazi serikali haina ufumbuzi wa tatizo hili. Kujiajili hiyo siyo mbinu ya serikali, ni jambo la mtu binafsi kuamua.

Serikali lazima itengeneze ajira. Kupunguza kodi siyo mbinu ya ajira kwa vijana. Kufuta tozo za OSHA siyo ufumbuzi. Viwanja vya michezo siyo ufumbuzi. Ni kama utatanishi tu na kutaja facts ambazo kila mtu anazijua.

Vijana hawana ajira, serikali itueleze wanategenezaje ajira. Hatutaki kuuza Bar kama tulivyoambiwa enzi za awamu ya 4.

Wanasiasa wote ndani ya CCM na upinzani wamekuwa wakilitaja tatizo la ajira lakini kwa hotuba ya leo ya Rais Samia, ni wazi serikali haina ufumbuzi wa tatizo hili. Kujiajili hiyo siyo mbinu ya serikali, ni jambo la mtu binafsi kuamua.

Serikali lazima itengeneze ajira. Kupunguza kodi siyo mbinu ya ajira kwa vijana. Kufuta tozo za OSHA siyo ufumbuzi. Viwanja vya michezo siyo ufumbuzi. Ni kama utatanishi tu na kutaja facts ambazo kila mtu anazijua.

Vijana hawana ajira, serikali itueleze wanategenezaje ajira. Hatutaki kuuza Bar kama tulivyoambiwa enzi za awamu ya 4.
umeandika point sana kujiajiri ni suala la mtu binafsi,vijana wengi wanaamini ukimaliza shule ukapata cheti ni lazima uajiriwe.

serikali iweke mikakati dhabiti kuhakikisha ajira ziko za kumwaga na sio kulazimisha kijana ajiajiri wakati hata mtaji hana.
 
Wanasiasa wote ndani ya CCM na upinzani wamekuwa wakilitaja tatizo la ajira lakini kwa hotuba ya leo ya Rais Samia, ni wazi serikali haina ufumbuzi wa tatizo hili. Kujiajili hiyo siyo mbinu ya serikali, ni jambo la mtu binafsi kuamua.

Serikali lazima itengeneze ajira. Kupunguza kodi siyo mbinu ya ajira kwa vijana. Kufuta tozo za OSHA siyo ufumbuzi. Viwanja vya michezo siyo ufumbuzi. Ni kama utatanishi tu na kutaja facts ambazo kila mtu anazijua.

Vijana hawana ajira, serikali itueleze wanategenezaje ajira. Hatutaki kuuza Bar kama tulivyoambiwa enzi za awamu ya 4.
Mbona hukusema haya enzi za Mzee wako?
 
Kwa akili yako unaona kazi ya rais ni kutoa ombi? UNazungumzia kurahisisha mazingira, kwa vipi au nayo ni theory mpya. Biashara ni kulipa kodi, FINITO! Hawa wanachukuwa Forex wanapeka China kununua plastiki na nguo. Wanauza kwa shilingi na kununua tena forex kupeleka china. Wasipotozwa kodi hizo forex wanazo export zitatoka wapi?

Serikali itoe mikakati ya kusupport manufacturing industries siyo wafanyabiashara wa kununua kuuza nao wadai huruma ya tax!
Hapa kuna wafanyabiara wenye pesa ila inawezekana wanaogopa ubabe wa serikali. Sio kwamba hatuna watu wa kuweza kununua mashine za kuzalisha matirio Kama wanayokwenda kununua huko China. Tunao ila ule uhuru hawana. Wengi wanakumbana na misukosuko kwa ajili ya watu wajanjawajanja na kutumia vyeo walivyonavyo.

Kiundwe kitengo Cha kusimamia Hawa watu na jicho liwe moja kwa moja kwa Raisi Kama hawatajitokeza. Wanaweza kujiunga hata wawili na kiwanda kikaja.

Tatizo lipo kwenye mfumo mbovu wa kunyanganyana ulichonacho. Unaweza ukawa na hela yako lakini utashambuliwa na watu Kama nyuki kwa vitisho.

Chakuangali ni sheria zilizowekwa zinamsaidia je mwekezaji ili aweze kuajiri vijana na serikalini ipate Kodi hata kidogo kidogo na mtaji uendelee.

Mfano kuna vikudi wanataka hela, Kata wanataka gawio, Halmashauri gawio, TRA Kodi na sio moja, sijui changia CCM kuna kikundi Cha ngoma n.k. Bado makomandoo wa vitisho wanaotumia vyeo vyao na wanaotumwa na wezi humohumo. Hapo hujui Kama huyu mtu anauza au la au mitambo inaendeshwa je.

Ushauri wangu wawekezaji jicho lao libaki ofisi ya Rais. Asitokee mtu pembeni kuwasumbua. Lengo ni ajira na Kodi ya serikalini. Hapo kuna Kodi ya wafanyakazi na Kodi ya kiwanda na manufacturer.

Serikali ikubali katiba mpya ambayo kila mtu ataielewa sio hiyo ya viraka. Hi ya viraka itupwe kabisa tuwe na katiba inayoendana na hali watanzania wanaishi kwa leo na kesho sio ya mababu zetu. Maisha bwaliyoishi mababu zetu ni tofauti na ulimwengu wa leo. Tunatakiwa tuwe na katiba inayoeleweka. Na hii itatupa ushindani wa kweli kusimamia rasilimali watu na afya ya taifa bila kubaguana.

Hatujui katiba kwa sababu haikusisitiziwa mashuleni. Hi katiba mpya vijana wetu wasisitiziwe hata Kama sio chaguo lake.
 
Hapa kuna wafanyabiara wenye pesa ila inawezekana wanaogopa ubabe wa serikali. Sio kwamba hatuna watu wa kuweza kununua mashine za kuzalisha matirio Kama wanayokwenda kununua huko China. Tunao ila ule uhuru hawana. Wengi wanakumbana na misukosuko kwa ajili ya watu wajanjawajanja na kutumia vyeo walivyonavyo.

Kiundwe kitengo Cha kusimamia Hawa watu na jicho liwe moja kwa moja kwa Raisi Kama hawatajitokeza. Wanaweza kujiunga hata wawili na kiwanda kikaja.

Tatizo lipo kwenye mfumo mbovu wa kunyanganyana ulichonacho. Unaweza ukawa na hela yako lakini utashambuliwa na watu Kama nyuki kwa vitisho.

Chakuangali ni sheria zilizowekwa zinamsaidia je mwekezaji ili aweze kuajiri vijana na serikalini ipate Kodi hata kidogo kidogo na mtaji uendelee.

Mfano kuna vikudi wanataka hela, Kata wanataka gawio, Halmashauri gawio, TRA Kodi na sio moja, sijui changia CCM kuna kikundi Cha ngoma n.k. Bado makomandoo wa vitisho wanaotumia vyeo vyao na wanaotumwa na wezi humohumo. Hapo hujui Kama huyu mtu anauza au la au mitambo inaendeshwa je.

Ushauri wangu wawekezaji jicho lao libaki ofisi ya Rais. Asitokee mtu pembeni kuwasumbua. Lengo ni ajira na Kodi ya serikalini. Hapo kuna Kodi ya wafanyakazi na Kodi ya kiwanda na manufacturer.

Serikali ikubali katiba mpya ambayo kila mtu ataielewa sio hiyo ya viraka. Hi ya viraka itupwe kabisa tuwe na katiba inayoendana na hali watanzania wanaishi kwa leo na kesho sio ya mababu zetu. Maisha bwaliyoishi mababu zetu ni tofauti na ulimwengu wa leo. Tunatakiwa tuwe na katiba inayoeleweka. Na hii itatupa ushindani wa kweli kusimamia rasilimali watu na afya ya taifa bila kubaguana.

Hatujui katiba kwa sababu haikusisitiziwa mashuleni. Hi katiba mpya vijana wetu wasisitiziwe hata Kama sio chaguo lake.
Ni vizuri kutoa mifano hai. Mzee Mengi (RIP) aliweza kuwekeza kwenye uzalishaji na sikuwahi sikia akilalamikia pesa yake kuchukuliwa kwa nguvu. Hawa wanaoishitaki TRA kila siku tatizo lao ni kukwepa kodi, ndipo walafi wa TRA wanapoona mwanya wa kuwakaanga.

Biashara ni kutimiza wajibu, basi!
 
very true hakuna mkakati thabit na wa maksudi kabisa wa kuhakikisha tatizo la ajira linatatuliwa, utawasikia tu kwenye majukwaaa ooh vijana mjiajiri ooh vijana wavivu wanashinda kwenye kubeti. lakini anayekuja na jitihada ama mikakati ya maana hakuna hata mmoja, na cha ajabu zaidi unakuta hata huyo anayelalamika yuko bungeni mkwakua kwake ni ajairia yani shida tupu
 
Vijana unaowazungumzia ndo hawa wakishawaona wakata viuno kwenye matukio muhimu wanapoteza focus?
Au tusubirie wengine?
 
Ni vizuri kutoa mifano hai. Mzee Mengi (RIP) aliweza kuwekeza kwenye uzalishaji na sikuwahi sikia akilalamikia pesa yake kuchukuliwa kwa nguvu. Hawa wanaoishitaki TRA kila siku tatizo lao ni kukwepa kodi, ndipo walafi wa TRA wanapoona mwanya wa kuwakaanga.

Biashara ni kutimiza wajibu, basi!
Kwa hiyo wakilalamika ni hadi usikie ndo uamini? Umewahi kukutana na TRA wakiwa kwenye anga zao??
 
Umewahi kutana na Internal Revenue Service ya US? Bora ukutane na Pentagon officer. Tusitake kudeka.
Ila Hawa hata ukiwapa soda hawanywi. Na kule US wananchi hawakubali mpaka Hawa watu wawafuate. Wale wanasikilizwa na wanadhamini utu. Wale wanaelimu ya kutosha kulipa Kodi. Hata Kama ni kulipia kitambulisho wanakuwa making na hiyo tarehe na siku.
 
Ni afadhali Rais #Samia #SSH angesema anakutana na WASANII kuliko kusema anakutana na vijana. Rais amezungumzia zaidi masilahi ya wasanii na hapakuwa na jipya kuhusu vijana.

Wabunge wa CCM kwa wingi wao bungeni, mwaka 2018 walipitisha sheria ya kufuta fao la kujitoa. Sasa huyo kijana anaambiwa akajiajiri, sijui akalime...Hizo pembejeo atanunua kwa hela ipi?

Baadhi ya Sera/Sheria mbovu za nchi ni kuwanyang’anya vijana uwezo.

Hapa naongelea vijana kuminywa kwa kuporwa haki zao, kunyimwa haki na kupuuzwa (hawasikilizwi). Naanza kwa Kuongezeka kwa Deni la Taifa na Propaganda mfu za Serikali, zenye lengo la kuhadaa umma ili kubaki madarakani tu. Serikali ya AWAMU YA 5 ilitamka kuwa inajenga miradi mikubwa kwa FEDHA za ndani. Asilimia kubwa ya Watanzania waliamini na kushangilia, na wale wachache wenye uelewa hawakupewa nafasi ya kuhoji. Imekuja kujulikana kuwa, FEDHA za Mifuko ya Jamii zilichukuliwa na Wafanyakazi wakaporwa haki zao za kulipwa FAO LA KUJITOA na kuchelewesha malipo ya Wastaafu.

Vijana wasomi, waliosoma sayansi na wenye ujuzi wameajiriwa kwenye Makampuni, Mashirika na Viwanda. Hizi ni talent, na hazina za wasomi kwa nchi, na walivyoajiriwa kwenye haya Makampuni na Viwanda, wamepata fursa ya kuongeza utaalamu na uzoefu. Hii ndio Econonomic interelligency ambayo Serikali ilipaswa kutumia ili kunyanyua uchumi wa nnchi through Innovation. Ajira na mikataba za hawa vijana (wenye utaalamu na uzoefu-Innovation) zilivyokoma, Serikali iliwanyima Akiba zao (PESA za NSSF). Kumbuka Serikali ilifuta fao la kujitoa mwaka 2018 na kuweka Fao la kukosa ajira. Watu wote skilled labour (wataalamu hawa), hawapewi akiba yao, Haki imepotea. Hawa watu wangelipwa fedha zao, wangeweza kujiajiri kwa kufungua makampuni, kujenga viwanda vidogo. Badala yake hawa skilled labour wanaambiwa wasubiri miezi 18 na kama hawataajiriwa, wakae hadi 55 years wastaafu.

Serikali ilitumia pesa za mifuko ya jamii (Kukopa au kupora kienyeji) ili kujenga miradi. Hapo awali serikali imesema inajenga miradi kwa pesa za ndani (propaganda)..Lakini ukweli wenyewe ni kupora haki za wafanyakazi vijana na mafao wastaafu. Pia Serikali ilikopa sana Nje na kwenye mabenki, ndio maana deni la taifa limepaa sana.

Serikali inapaswa kuwapa wafanyakazi akiba zao ili waweze kutumia skill zao na uzoefu waliopata katika makampuni/viwanda ili kufungua biashara mpya. Hii ndio namna ya kutanua wigo wa Kodi (MWugulu NCHEMBA TRA). Mitaji itatoka wapi ya biashara mpya kwa wazawa kama mikopo benki sio rafiki? Suluhisho ni Serikali kurejesha FAO LA KUJITOA NSSF na kulipa wafayakazi akiba zao kwa Haki.

Serikali inatakiwa kuwezesha vijana, kutoa International passport kwa graduate wote, ili wapambane fursa za ajira kokote duniani. Baadae watakuwa diapora kubwa inayotuma pesa Tanzania, kama ilivyo Zimbabwe, Kenya na India walivyoenda wengi Canada na UK. Serikali kurejesha Fao la Kujitoa, Hasa kwa Sekta binafsi, kwa kuzingatia kuwa Sekta binafsi Security ya ajira ni delicate sana.
 
Serikali imetoa kodi kwenye nyasi za bandia ili viwanja vitandikwe kapeti ya nyasi...hiyo itachochea vijana wengi kuajiriwa kwenye soka🐒
 
mnhhhh mnapoteza muda wenu..suala la ajira na elimu ni vitu vinakuwa ignored na mawaziri husikA, otherwise hapa JF ushauri mwingi tu ushatolewa....

1. Mama tenga fungu/pesa/mfuko special ku deal na tatizo la ajira.

2.Kuwe na incentive paid to employers who employ graduates who have been out of employment in the past five years.

3.Kuwe na system ya kuwa engage wananchi watoe solutions za matatizo yanayowakabili...wasisubiri JamiiForums peke yake...government proccess should'nt be top-down proccesses bali bottom-up processes. Yusuph Makamba alishawahi kuja na number ya simu kwa wananchi wake wa Bumbuli wapige wakiwa na kero. Ni utaratibu mzuri. Kila sehemu ya nchi ki serikali wawe na utaratibu huu,sio kusikiliza matatizo tu bali na solutions kutoka kwa wananchi mojawapo ikiwa ni unemployment.

4.Elimu yetu iwe specific na mazingira yetu, tunasoma vitu vingi sana irrelevant ..ukisoma vitu katika mazingira yako unakua na knowledge zaidi ya ku explore opportunuties that are available within your reach hivyo kujiajiri.

5. Mmekazania vijana wamalizapo chuo wajiajiri,kwa nini sasa walienda vyuoni? si wangeweza kujiajiri mapema tuu kuliko kupoteza muda wao vyuoni ?? msitoe lawama kwa serikali,kwa kweli serikali iko responsible. Kuliko kupoteza time and resources ni bora vijana wamalizapo form six wapewe Elimu na mitaji wajiajiri. Hio hela utakayomsomesha miaka mitatu and then akae bench/not productive ungempa mtaji na elimu ya entreprenuarship pindi anapomaliza six i'm sure baada ya miaka mitatu atakuwa mbali yeye binafsi pamoja na kutokua mzigo kwa jamii inayomzunguka.
 
Ni vizuri kutoa mifano hai. Mzee Mengi (RIP) aliweza kuwekeza kwenye uzalishaji na sikuwahi sikia akilalamikia pesa yake kuchukuliwa kwa nguvu. Hawa wanaoishitaki TRA kila siku tatizo lao ni kukwepa kodi, ndipo walafi wa TRA wanapoona mwanya wa kuwakaanga.

Biashara ni kutimiza wajibu, basi!
Ungesoma kitabu chake wala usingeandika hya

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
mnhhhh mnapoteza muda wenu..suala la ajira na elimu ni vitu vinakuwa ignored na mawaziri husikA, otherwise hapa JF ushauri mwingi tu ushatolewa....

1. Mama tenga fungu/pesa/mfuko special ku deal na tatizo la ajira.

2.Kuwe na incentive paid to employers who employ graduates who have been out of employment for the past five years.

3.Kuwe na system ya kuwa engage wananchi watoe solutions za matatizo yanayowakabili...wasisubiri JamiiForums peke yake...government proccess should'nt be top-down proccesses bali bottom-up processes. Yusuph Makamba alishawahi kuja na number ya simu kwa wananchi wake wa Bumbuli wapige wakiwa na kero. Ni utaratibu mzuri. Kila sehemu ya nchi ki serikali wawe na utaratibu huu,sio kusikiliza matatizo tu bali na solutions kutoka kwa wananchi mojawapo ikiwa ni unemployment.

4.Elimu yetu iwe specific na mazingira yetu, tunasoma vitu vingi sana irrelevant ..ukisoma vitu katika mazingira yako unakua na knowledge zaidi ya ku explore opportunuties that are available within your reach hivyo kujiajiri.

5. Mmekazania vijana wamalizapo shule wajiajiri,kwa nini sasa walienda shule si wangeweza kujiajiri mapema tuu kuliko kupoteza muda wao shuleni?? msitoe lawama kwa serikali,kwa kweli serikali iko responsible. Kuliko kupoteza time and resources ni bora vijana wamalizapo form six wapewe Elimu na mitaji wajiajiri. Hio hela utakayomsomesha miaka mitatu and then akae bench/not productive ungempa mtaji na elimu ya entreprenuarship pindi anapomaliza six i'm sure baada ya miaka mitatu atakuwa mbali yeye binafsi pamoja na kutokua mzigo kwa jamii inayomzunguka.
Very good analysis

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
umeandika point sana kujiajiri ni suala la mtu binafsi,vijana wengi wanaamini ukimaliza shule ukapata cheti ni lazima uajiriwe.

serikali iweke mikakati dhabiti kuhakikisha ajira ziko za kumwaga na sio kulazimisha kijana ajiajiri wakati hata mtaji hana.
Eti wanasiasa wetu hawa, mkakati wao ni kuwaambia vijana wajiajili! Ni upuuzi kabisa. Serikali lazima itengeze ajira siyo hotuba za kusema mujiajili. Hilo haliwahusu kabisaaa!
 
Ungesoma kitabu chake wala usingeandika hya

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sisomi vitabu vya kinafiki mimi. Mi nafanya assessment yangu. Umesoma kitabu cha Mwinyi? Uzembe wa kiuongozi alioufanya mbona kauruka? Aligawa maeneo ya wazi, akikwenda kucheza kanda Bongo man wagonjwa wakifa kwa kukosa tiba Muhimbili. Mengi hakusema alivyoiibia serikali. Mkapa naye alisema alivyojimegea viwanda?
 
Wanasiasa wote ndani ya CCM na upinzani wamekuwa wakilitaja tatizo la ajira lakini kwa hotuba ya leo ya Rais Samia, ni wazi serikali haina ufumbuzi wa tatizo hili. Kujiajili hiyo siyo mbinu ya serikali, ni jambo la mtu binafsi kuamua.

Serikali lazima itengeneze ajira. Kupunguza kodi siyo mbinu ya ajira kwa vijana. Kufuta tozo za OSHA siyo ufumbuzi. Viwanja vya michezo siyo ufumbuzi. Ni kama utatanishi tu na kutaja facts ambazo kila mtu anazijua.

Vijana hawana ajira, serikali itueleze wanategenezaje ajira. Hatutaki kuuza Bar kama tulivyoambiwa enzi za awamu ya 4.
Kwa mfano, US walitoa incentive kwa makampuni binafsi ili yasife wakati huu wa corona. Yakifa au kufilisika, yanapoteza ajira na kodi nyingi za kuendesha serikali. Private sector inayokua, itaongeza ajira. Serikali inatakiwa kuweka sera na mazingira rafiki kwa private sector ili azma ya kuongeza ajira ifanikiwe. Serikali isijiingize kufanya biashara ambazo hawana hata weledi nazo. Na serikali haiwezi kutuajiri sisi sote. Serikali ithamini na kuikuza private secor kama njia mbadala ya kuongeza ajira.
Eneo jingine ni kuhakikisha inawekeza kwa nguvu kubwa kwenye kilimo. Kutoa wataalamu na kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora na vitendea kazi endelevu. Kilimo sasa kiwe mechanized. Kufuga sasa kuwe kwa small scale and zero grazing. Tanzania tunaweza kutengeneza ajira kwa kila mtu kama kimkakati, maeneo fulani yakapewa kipaumbele
 
Back
Top Bottom