amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 3,628
- 10,362
Hello wadau!!
Changamoto zozote unazozipata katika shughuli zako za Kila siku usizichukulie kama matatizo Bali ni sehemu ya kukufanya kuzidi kuwa Bora maradufu ya ulivyokuwa.
Straight to the topic
Miaka ya nyuma kidogo hiyo siku ilianza vizuri TU ila mishale ya saa 7 hivi nikapokea taarifa kuwa hii site kazi ilipokamilika muhusika amegoma kumalizia malipo ya mwisho (huyu muhusika ninampa jina la Clifford), isiwe tabu Amadala nikasogea eneo la tukio kuhakikisha nikaona hii issue ni nzito.
Nikapiga mahesabu yangu ya linear programming nikauvaa uhusika wa mafian consigliere nikaenda kuripoti kituo Cha polisi karibu na hapo.
Baada ya masaa kama mawili nilikuja kwenye Ile site nikiwa nimeongozana na mapongo wawili kufika pale Clifford alitema shombo balaa na mbaya zaidi akaenda hatua kumi mbele za kipumbavu kwa kubadili vifaa vya system niliyofunga na kuweka vya zamani.
Mazungumzo hayakuzaa matunda, kesho yake tulifika wote na Clifford kituo Cha polisi tukaitwa na yule mpongo ambae ni mpelelezi kuandika maelezo na alijaribu Tena kumsihi Clifford anipatie pesa yangu ila juhudi hazikuzaa matunda hivyo faili likasogea kunako viunga vya mahakama Ili hakimu na wazee wa baraza wafanye maamuzi Yao.
Clifford kiumri alikuwa amenizidi zaidi ya miaka 15 yaani Zaidi hata ya kaka yangu wa kwanza alininyamba mbele ya mapongo huna uwezo wa kuwa na huu mzigo and bla bla bla lakini haikuwa na maana kwa kuwa nilichodai ilikuwa haki yangu.
Upande mwingine, Ule mzigo haukuwa wa kwangu nimechukua kwa supplier hivyo nilitakiwa kulipa ndani ya siku nilizomaliza kazi after 4 days supplier alinipigia kwenye simu, "Hello Amadala nimekupigia kuulizia pesa yangu naona kimya".
Hamna namna ikabidi nimwambie Kila kituo kinachoendelea. Basi akaniambia, "Amadala kwenda polisi ni kupoteza muda wako na pesa achana na hayo mambo "
Nikamjibu sawa ila huo ushauri uliingia kulia ukatoka kushoto niliendelea na harakati zangu za kufika viunga vya mahakamani Kila nilipohitajika na sikutaka kujiingiza kwenye deni kirahisi kwanza hiyo hela ingenirudisha nyuma.
Basi kesi yetu ilisomwa mahakamani, tukasikilizwa pande zote mbili na mashahidi wangu na wa Clifford wakaitwa.
Namshukuru Mungu pia Ile kesi ilienda speed mithili ya Honda CX-5 baada kama ya miezi mitatu ilikamilika.
Hukumu ilitoka ambapo Clifford alitakiwa kulipa pesa yote siku ileile ya hukumu maana kesi haikuwa ya madai Tena Bali ni JINAI kwa kujipatia huduma kwa njia ya udanganyifu na alihukumiwa mwaka mmoja jela au faini ya 300,000 japokuwa alilipa hiyo hela.
Supplier wangu alinivumilia Hadi siku nilipolipwa basi nikampa pesa yake nikamalizana nae. (Hata kama alikuwa ananidai sikuwahi kumuhama nilikuwa naendelea na issue zangu nyingine vilevile)
Ile siku ya hukumu wakati natia Saini karatasi za hukumu hakimu aliniomba namba yangu baada ya siku chache namba ngeni iliingia kama kawaida Amadala nikiona namba ngeni najua ni wateja wangu always nasema Hello!! Karibu.
Alijitambulisha akanipa ramani alinipigia pande somewhere nikapiga mzigo nikarudisha hela za mafuta.
Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika mahakamani na ndio ilikuwa challenge yangu kubwa niliyokutana nayo kwa kipindi kile. Basi yaliisha your girl Amadala nipo zangu napiga mzigo kama kawaida.
Ulikutana na kisanga Gani?
Share tujifunze.
Changamoto zozote unazozipata katika shughuli zako za Kila siku usizichukulie kama matatizo Bali ni sehemu ya kukufanya kuzidi kuwa Bora maradufu ya ulivyokuwa.
Straight to the topic
Miaka ya nyuma kidogo hiyo siku ilianza vizuri TU ila mishale ya saa 7 hivi nikapokea taarifa kuwa hii site kazi ilipokamilika muhusika amegoma kumalizia malipo ya mwisho (huyu muhusika ninampa jina la Clifford), isiwe tabu Amadala nikasogea eneo la tukio kuhakikisha nikaona hii issue ni nzito.
Nikapiga mahesabu yangu ya linear programming nikauvaa uhusika wa mafian consigliere nikaenda kuripoti kituo Cha polisi karibu na hapo.
Baada ya masaa kama mawili nilikuja kwenye Ile site nikiwa nimeongozana na mapongo wawili kufika pale Clifford alitema shombo balaa na mbaya zaidi akaenda hatua kumi mbele za kipumbavu kwa kubadili vifaa vya system niliyofunga na kuweka vya zamani.
Mazungumzo hayakuzaa matunda, kesho yake tulifika wote na Clifford kituo Cha polisi tukaitwa na yule mpongo ambae ni mpelelezi kuandika maelezo na alijaribu Tena kumsihi Clifford anipatie pesa yangu ila juhudi hazikuzaa matunda hivyo faili likasogea kunako viunga vya mahakama Ili hakimu na wazee wa baraza wafanye maamuzi Yao.
Clifford kiumri alikuwa amenizidi zaidi ya miaka 15 yaani Zaidi hata ya kaka yangu wa kwanza alininyamba mbele ya mapongo huna uwezo wa kuwa na huu mzigo and bla bla bla lakini haikuwa na maana kwa kuwa nilichodai ilikuwa haki yangu.
Upande mwingine, Ule mzigo haukuwa wa kwangu nimechukua kwa supplier hivyo nilitakiwa kulipa ndani ya siku nilizomaliza kazi after 4 days supplier alinipigia kwenye simu, "Hello Amadala nimekupigia kuulizia pesa yangu naona kimya".
Hamna namna ikabidi nimwambie Kila kituo kinachoendelea. Basi akaniambia, "Amadala kwenda polisi ni kupoteza muda wako na pesa achana na hayo mambo "
Nikamjibu sawa ila huo ushauri uliingia kulia ukatoka kushoto niliendelea na harakati zangu za kufika viunga vya mahakamani Kila nilipohitajika na sikutaka kujiingiza kwenye deni kirahisi kwanza hiyo hela ingenirudisha nyuma.
Basi kesi yetu ilisomwa mahakamani, tukasikilizwa pande zote mbili na mashahidi wangu na wa Clifford wakaitwa.
Namshukuru Mungu pia Ile kesi ilienda speed mithili ya Honda CX-5 baada kama ya miezi mitatu ilikamilika.
Hukumu ilitoka ambapo Clifford alitakiwa kulipa pesa yote siku ileile ya hukumu maana kesi haikuwa ya madai Tena Bali ni JINAI kwa kujipatia huduma kwa njia ya udanganyifu na alihukumiwa mwaka mmoja jela au faini ya 300,000 japokuwa alilipa hiyo hela.
Supplier wangu alinivumilia Hadi siku nilipolipwa basi nikampa pesa yake nikamalizana nae. (Hata kama alikuwa ananidai sikuwahi kumuhama nilikuwa naendelea na issue zangu nyingine vilevile)
Ile siku ya hukumu wakati natia Saini karatasi za hukumu hakimu aliniomba namba yangu baada ya siku chache namba ngeni iliingia kama kawaida Amadala nikiona namba ngeni najua ni wateja wangu always nasema Hello!! Karibu.
Alijitambulisha akanipa ramani alinipigia pande somewhere nikapiga mzigo nikarudisha hela za mafuta.
Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika mahakamani na ndio ilikuwa challenge yangu kubwa niliyokutana nayo kwa kipindi kile. Basi yaliisha your girl Amadala nipo zangu napiga mzigo kama kawaida.
Ulikutana na kisanga Gani?
Share tujifunze.