Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijarishi ametokea chama gani. wafuatao ndio wanaofaa kuwa raisi mwaka 2015
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
1. Wote hawa ni wachapa kaziTunaomba vigezo, na umeamua kama nani?
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijarishi ametokea chama gani. wafuatao ndio wanaofaa kuwa raisi mwaka 2015
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Wengine ni Dr. Abdalah Kigoda, Hamisi Kagesheki na Hawa Ghasia
Slaa and Lowasa are ok, but Magufuli can fit best to the position of PM but not a president.Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijarishi ametokea chama gani. wafuatao ndio wanaofaa kuwa raisi mwaka 2015
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Wengine ni Dr. Abdalah Kigoda, Hamisi Kagesheki na Hawa Ghasia
Mulugo,lusinde,sophia simba,wasira etc
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward lowassa
2. John magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Lowasa hafai ila sijui vigezo ulivyotumia
ukisoma hotuba za Nyerere jamaa huyu hafai kabisaaa
kwasababu sijasikia akiongea juu ya rushwa za kimtandao
ndani ya CCM, na yeye zote zinahusishwa na yeye.