DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,319
- 83,202
Kama huyo Mwanamke unayetaka kumuoa sasa hivi alikukataa mwanzo na sasa anakukubali .
Je kwanini mwanzo alikukataa na sasa anataka umuoe .?
Yaani MTU kazalishwa kachoka ndo anakuja kwako umuoe!?
Mwambie apambane aolewe na aliyenzalisha angekuwa amekufa hapo sawa Ila kama yupo hai mwambie amuoe aliyemzalisha.
Kwa umri wako huo 34 yrs unaoa single mother na unatoa na mahari hii inamifanya nizidi kushangaa.
Je kwanini mwanzo alikukataa na sasa anataka umuoe .?
Yaani MTU kazalishwa kachoka ndo anakuja kwako umuoe!?
Mwambie apambane aolewe na aliyenzalisha angekuwa amekufa hapo sawa Ila kama yupo hai mwambie amuoe aliyemzalisha.
Kwa umri wako huo 34 yrs unaoa single mother na unatoa na mahari hii inamifanya nizidi kushangaa.