Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
492
Reaction score
929
Hili jambo linanitafakarisha sana wanajamii!!

Habari!?

Mimi ni kijana wa makamo, natoka familia ya kawaida, baba alikua mtumishi na mama ni mama wa nyumbani tu!

Nina changamoto Moja hivi, naomba kushea mnipe mawazo walau nijue naanzia wapi.

Nina miaka 34 Sasa naelekea 35, Sina familia swala ambalo nilikua na sisitizwa sana na baba (si baba mzazi, mama aliolewa nikiwa nimezaliwa), baba huyu ananipenda sana, hivyo mara kadhaa huniomba ushauri na msaada na mara nyingi namsaidia, ikiwa ni pamoja na kuwasomesha wadogo zangu.

Mwaka Juzi niliachana na mchumba Ambae nilidhani tungeoana, ni mambo ya vijana Kila mtu ana sababu zake. (Ameshaolewa na Wana maisha Yao)

Ilibdi niwaze kumpata mtu Ambae ninafahamiana nae, anatoka maeneo ya nyumbani.

Kuna binti mmoja ni mtoto wa rafiki yake na baba, walikua marafiki sana, huyo binti niliwahi kumtongoza kipindi Cha nyuma, wakati tunasoma aligoma, nikamwacha. Baba yake alifariki na wakati anafariki baba ni kama alikua mwangalizi wa familia hii.

Katika pita zangu juzi nikiwa single nimeachana na aliekuwa mchumba, nikakutana nae, ameachwa na waliekuwa nae na kibaya zaidi ana mtoto mmoja.

Nilimweka karibu kwanza kumchunguza, nilivutiwa nae kwa vingi, mapambano yake na historia mbaya sana aliokuwa akinipa kuhusu baba wa mwanae.

Tulienda muda kidogo tukaanza mahusiano, nikiwa makini sana, aaah huyu dada nilijikuta nampenda sana kama mwanzo, very organized, focused, nk nk, yaan package full, japo Kila nikisoma story za usioe single mother naishiwa pawa.

Anyway juzi hapa nikaona nimwoe, baada ya nyumbani pia kusema ni muda Sasa wa kuwa na mchumba, (baba alikua anajua tyari nilimwambia na alifurahi niwe na mtoto wa rafiki yake)

Nilijipanga nikaenda nyumbani kusema official, walifurahi na binti kwao walifurahi sana maana walikua wakitufahamu Toka tukiwa wadogo.

Shida Sasa ikaanza baada ya Mimi kurudi, nikapigiwa simu na dada mkubwa (ameachana na mume wake) ninaemfuata, akaniambia 'wewe kwanini unataka kupush sana mambo Yako wakati unaona nyumbani sahivi Kuna tukio la ukoo, Babu anataka kufanya jubilei' nilishangaa maana Mimi sikua na hizo taarifa, na kwa maelezo ya baba, mwezi wa 10 mwaka huu nilikua niwe na ndoa.

Nikamwambia asirudie kuniambia hivyo maana mm sijalazimisha chochote! Na nilikua sijui lolote,


Kilichofuata baba aliniambia ataenda kwa wakwe kuanza michakato, nikawa napigwa kalenda sana, mwisho akaniambia tatizo ni pesa nikamtumia, lkn Bado nikawa napigwa kalenda.

Hatimaye siku Moja mama akanipigia simu usiku, akaniambia, wewe...... Huoni Kuna Nini hapa nyumbani, tukio la Babu, na tunataka tutengeneze makaburi ya ukoo, nikamwambia mama mbona hivyo vitu havina gharama na vinaweza kwenda pamoja, akapata kigugumizi akaanza kunipa sababu zingine mwisho nikaanza kuonekana mkosaji Tena.. nikanyamaza.

Week kadhaa siku Moja baba akanipigia simu mchana akaniambia, usiwe unaongea nao sana hao, subiri mwakani hata mwezi wa kumi huko tutafanikisha...

Nilishangaa sana maana mwanzo nilikua nahamasishwa sana lkn sahv yamekuwa hayo...


Nipeni mawazo watu wangu wa maana, nianzie wapi? Nisije jikuta nachelewa zaidi na zaidi!
 
Hili jambo linanitafakarisha sana wanajamii!!

Habari!?

Mimi ni kijana wa makamo, natoka familia ya kawaida, baba alikua mtumishi na mama ni mama wa nyumbani tu!

Nina changamoto Moja hivi, naomba kushea mnipe mawazo walau nijue naanzia wapi.

Nina miaka 34 Sasa naelekea 35, Sina familia swala ambalo nilikua na sisitizwa sana na baba (si baba mzazi, mama aliolewa nikiwa nimezaliwa), baba huyu ananipenda sana, hivyo mara kadhaa huniomba ushauri na msaada na mara nyingi namsaidia, ikiwa ni pamoja na kuwasomesha wadogo zangu.

Mwaka Juzi niliachana na mchumba Ambae nilidhani tungeoana, ni mambo ya vijana Kila mtu ana sababu zake. (Ameshaolewa na Wana maisha Yao)

Ilibdi niwaze kumpata mtu Ambae ninafahamiana nae, anatoka maeneo ya nyumbani.

Kuna binti mmoja ni mtoto wa rafiki yake na baba, walikua marafiki sana, huyo binti niliwahi kumtongoza kipindi Cha nyuma, wakati tunasoma aligoma, nikamwacha. Baba yake alifariki na wakati anafariki baba ni kama alikua mwangalizi wa familia hii.

Katika pita zangu juzi nikiwa single nimeachana na aliekuwa mchumba, nikakutana nae, ameachwa na waliekuwa nae na kibaya zaidi ana mtoto mmoja.

Nilimweka karibu kwanza kumchunguza, nilivutiwa nae kwa vingi, mapambano yake na historia mbaya sana aliokuwa akinipa kuhusu baba wa mwanae.

Tulienda muda kidogo tukaanza mahusiano, nikiwa makini sana, aaah huyu dada nilijikuta nampenda sana kama mwanzo, very organized, focused, nk nk, yaan package full, japo Kila nikisoma story za usioe single mother naishiwa pawa.

Anyway juzi hapa nikaona nimwoe, baada ya nyumbani pia kusema ni muda Sasa wa kuwa na mchumba, (baba alikua anajua tyari nilimwambia na alifurahi niwe na mtoto wa rafiki yake)

Nilijipanga nikaenda nyumbani kusema official, walifurahi na binti kwao walifurahi sana maana walikua wakitufahamu Toka tukiwa wadogo.

Shida Sasa ikaanza baada ya Mimi kurudi, nikapigiwa simu na dada mkubwa (ameachana na mume wake) ninaemfuata, akaniambia 'wewe kwanini unataka kupush sana mambo Yako wakati unaona nyumbani sahivi Kuna tukio la ukoo, Babu anataka kufanya jubilei' nilishangaa maana Mimi sikua na hizo taarifa, na kwa maelezo ya baba, mwezi wa 10 mwaka huu nilikua niwe na ndoa.

Nikamwambia asirudie kuniambia hivyo maana mm sijalazimisha chochote! Na nilikua sijui lolote,


Kilichofuata baba aliniambia ataenda kwa wakwe kuanza michakato, nikawa napigwa kalenda sana, mwisho akaniambia tatizo ni pesa nikamtumia, lkn Bado nikawa napigwa kalenda.

Hatimaye siku Moja mama akanipigia simu usiku, akaniambia, wewe...... Huoni Kuna Nini hapa nyumbani, tukio la Babu, na tunataka tutengeneze makaburi ya ukoo, nikamwambia mama mbona hivyo vitu havina gharama na vinaweza kwenda pamoja, akapata kigugumizi akaanza kunipa sababu zingine mwisho nikaanza kuonekana mkosaji Tena.. nikanyamaza.

Week kadhaa siku Moja baba akanipigia simu mchana akaniambia, usiwe unaongea nao sana hao, subiri mwakani hata mwezi wa kumi huko tutafanikisha...

Nilishangaa sana maana mwanzo nilikua nahamasishwa sana lkn sahv yamekuwa hayo...


Nipeni mawazo watu wangu wa maana, nianzie wapi? Nisije jikuta nachelewa zaidi na zaidi!

Umekosea Sana huyo single mother ungemsaidia Kama amekwama Ila kumuoa ni makosa Makubwa unaenda kufanya .


Pili - unabidi kutumia Akili kufanya maamuzi na sio kuendeshwa na inawezekana wewe ni Bread winner katika hiyo familia , wameingiwa na hofu baada ya Kutangaza Ndoa wakihisi hautakuwa na habari nao ukioa .


Cha kufanya

-Achana na single mother na kaa nao mbali hao watu wamechafukwa roho na nafsi watakuumiza vibaya mno kwakuwa wako na bad experience kwenye mahusiano.



Wanawake ambao hawafai kusogelewa ni

-Single mothers
-Broke women
-And a woman who is unhappy

Ukikutana na wanawake wa hivi wasaidie walipokwama Ila usianzishe nao mahusiano.
 
Nikwambie kitu, fanya maongezi ya kiudadisi na mama yako kuna jambo utaligundua. Ila katika yote usikilize sana ushauri wa mama yako, yeye anajua zaidi namna ya kuishi na hao watu wa upande wa baba yako ikizingatiwa hata yeye huenda alipitia figisu nyingi wakati wewe ukiwa mdogo.

Laakini pia huenda kuna historia fulani juu ya huyo binti ambayo unafichwa usiijue. Usishtuke kuja kuambiwa huyo ni dada yako au tuseme mtoto wa huyo baba yako.
 
Umekosea Sana huyo single mother ungemsaidia Kama amekwama Ila kumuoa ni makosa Makubwa unaenda kufanya .


Pili - unabidi kutumia Akili kufanya maamuzi na sio kuendeshwa na inawezekana wewe ni Bread winner katika hiyo familia , wameingiwa na hofu baada ya Kutangaza Ndoa wakihisi hautakuwa na habari nao ukioa .


Cha kufanya

-Achana na single mother na kaa nao mbali hao watu wamechafukwa roho na nafsi watakuumiza vibaya mno kwakuwa wako na bad experience kwenye mahusiano.



Wanawake ambao hawafai kusogelewa ni

-Single mothers
-Broke women
-And a woman who is unhappy

Ukikutana na wanawake wa hivi wasaidie walipokwama Ila usianzishe nao mahusiano.
Huyu mwamba kumshauri juu ya single mother ni kumfanya amsaliti mama yake, rudia kusoma uzi wake utaona mama yake aliolewa akiwa single mother pia.
 
Umekosea Sana huyo single mother ungemsaidia Kama amekwama Ila kumuoa ni makosa Makubwa unaenda kufanya .


Pili - unabidi kutumia Akili kufanya maamuzi na sio kuendeshwa na inawezekana wewe ni Bread winner katika hiyo familia , wameingiwa na hofu baada ya Kutangaza Ndoa wakihisi hautakuwa na habari nao ukioa .


Cha kufanya

-Achana na single mother na kaa nao mbali hao watu wamechafukwa roho na nafsi watakuumiza vibaya mno kwakuwa wako na bad experience kwenye mahusiano.



Wanawake ambao hawafai kusogelewa ni

-Single mothers
-Broke women
-And a woman who is unhappy

Ukikutana na wanawake wa hivi wasaidie walipokwama Ila usianzishe nao mahusiano.
Asante sana, nashukuru kwa ushauri
 
Nikwambie kitu, fanya maongezi ya kiudadisi na mama yako kuna jambo utaligundua. Ila katika yote usikilize sana ushauri wa mama yako, yeye anajua zaidi namna ya kuishi na hao watu wa upande wa baba yako ikizingatiwa hata yeye huenda alipitia figisu nyingi wakati wewe ukiwa mdogo.

Laakini pia huenda kuna historia fulani juu ya huyo binti ambayo unafichwa usiijue. Usishtuke kuja kuambiwa huyo ni dada yako au tuseme mtoto wa huyo baba yako.
Thanks bro!!! Madini sana
 
Huyo mwanamke ni either mna undugu au ameshatembea na mtu kwenye familia yenu na wanajua. Mapenzi sijui kumpenda kusikufanye upofu. Jua ukweli, chunguza background vizuri kabla hujakurupuka. Pili usifuate saaana (mara zote) ushauri maana mwisho wa siku huyo mtu utaishi naye wewe sio familia. Mwisho kabisa ikitokea umefanya maamuzi ya kuwa naye hama hapo mkae mbali na familia. Familia zetu hizi zina nong'wa. Wanaamini wewe ni mtoto (wao siku zote) wakati ni mda sahihi kabisa kuwa na mji wako.
 
Hili jambo linanitafakarisha sana wanajamii!!

Habari!?

Mimi ni kijana wa makamo, natoka familia ya kawaida, baba alikua mtumishi na mama ni mama wa nyumbani tu!

Nina changamoto Moja hivi, naomba kushea mnipe mawazo walau nijue naanzia wapi.

Nina miaka 34 Sasa naelekea 35, Sina familia swala ambalo nilikua na sisitizwa sana na baba (si baba mzazi, mama aliolewa nikiwa nimezaliwa), baba huyu ananipenda sana, hivyo mara kadhaa huniomba ushauri na msaada na mara nyingi namsaidia, ikiwa ni pamoja na kuwasomesha wadogo zangu.

Mwaka Juzi niliachana na mchumba Ambae nilidhani tungeoana, ni mambo ya vijana Kila mtu ana sababu zake. (Ameshaolewa na Wana maisha Yao)

Ilibdi niwaze kumpata mtu Ambae ninafahamiana nae, anatoka maeneo ya nyumbani.

Kuna binti mmoja ni mtoto wa rafiki yake na baba, walikua marafiki sana, huyo binti niliwahi kumtongoza kipindi Cha nyuma, wakati tunasoma aligoma, nikamwacha. Baba yake alifariki na wakati anafariki baba ni kama alikua mwangalizi wa familia hii.

Katika pita zangu juzi nikiwa single nimeachana na aliekuwa mchumba, nikakutana nae, ameachwa na waliekuwa nae na kibaya zaidi ana mtoto mmoja.

Nilimweka karibu kwanza kumchunguza, nilivutiwa nae kwa vingi, mapambano yake na historia mbaya sana aliokuwa akinipa kuhusu baba wa mwanae.

Tulienda muda kidogo tukaanza mahusiano, nikiwa makini sana, aaah huyu dada nilijikuta nampenda sana kama mwanzo, very organized, focused, nk nk, yaan package full, japo Kila nikisoma story za usioe single mother naishiwa pawa.

Anyway juzi hapa nikaona nimwoe, baada ya nyumbani pia kusema ni muda Sasa wa kuwa na mchumba, (baba alikua anajua tyari nilimwambia na alifurahi niwe na mtoto wa rafiki yake)

Nilijipanga nikaenda nyumbani kusema official, walifurahi na binti kwao walifurahi sana maana walikua wakitufahamu Toka tukiwa wadogo.

Shida Sasa ikaanza baada ya Mimi kurudi, nikapigiwa simu na dada mkubwa (ameachana na mume wake) ninaemfuata, akaniambia 'wewe kwanini unataka kupush sana mambo Yako wakati unaona nyumbani sahivi Kuna tukio la ukoo, Babu anataka kufanya jubilei' nilishangaa maana Mimi sikua na hizo taarifa, na kwa maelezo ya baba, mwezi wa 10 mwaka huu nilikua niwe na ndoa.

Nikamwambia asirudie kuniambia hivyo maana mm sijalazimisha chochote! Na nilikua sijui lolote,


Kilichofuata baba aliniambia ataenda kwa wakwe kuanza michakato, nikawa napigwa kalenda sana, mwisho akaniambia tatizo ni pesa nikamtumia, lkn Bado nikawa napigwa kalenda.

Hatimaye siku Moja mama akanipigia simu usiku, akaniambia, wewe...... Huoni Kuna Nini hapa nyumbani, tukio la Babu, na tunataka tutengeneze makaburi ya ukoo, nikamwambia mama mbona hivyo vitu havina gharama na vinaweza kwenda pamoja, akapata kigugumizi akaanza kunipa sababu zingine mwisho nikaanza kuonekana mkosaji Tena.. nikanyamaza.

Week kadhaa siku Moja baba akanipigia simu mchana akaniambia, usiwe unaongea nao sana hao, subiri mwakani hata mwezi wa kumi huko tutafanikisha...

Nilishangaa sana maana mwanzo nilikua nahamasishwa sana lkn sahv yamekuwa hayo...


Nipeni mawazo watu wangu wa maana, nianzie wapi? Nisije jikuta nachelewa zaidi na zaidi!
Achana na single mothers hakikisha unakaa mbali na such kind of women

Sifa kuu ya single mothers ni kuwa pretenders

Atamuongelea vibaya EX wake na kumpaka matope Ila akimuhitaji atamshughulikia .

So be smart Nigga

Achana na huyo Mwanamke Ila msapoti kiuchumi akae sawa
 
Back
Top Bottom