dah nilijua mkuu katungaKweli hata sie tumefundishwa na mwalimu wa jina hilo
nilijua unatania tuKweli mkuu
teh..teh...te..hh.....alikunyooooosha! sijui tumuite aje hapa naona unatusumbuaKiukweli maisha yangu yote ya elimu kuanzia nursery hadi uni sikumbuki jina la mwalimu yeyote zaidi ya fala mmoja alikua discipline master nikiwa form two anaitwa Gibson, yule ms@nge nammind mpaka leo!
Sent using Jamii Forums mobile app
mwalimu mere 1983
Dada muuza barafu..
nipe nami japo moja............................usiwe mchoyo!!!Mwalimu Swai... Kaniuzisha ice cream sana huyu mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa kauli yako hii naona wameanza kujirekebisha, unaona anyekufuatia hapo chini huko nyuma aliandika utumboutmbo. baada yako kusema amejirekebisha.Kwa utafiti wangu wa haraka nimegundua kwamba elimu yetu watanzania imeanza kuharibika miaka ya 90..hivi unaandikaje jina la mwalimu au shule kwa kuanza na herufi ndogo?
Hivi vitu vidogo ndo ulikuwa msingi wa mwanzo katika elimu ya mwanafunzi.
Acha utundu Shadeeya yaani wamsahau alikufundisha kushika kalamu na kuumba herufi?!!!Ina maana mi na wewe Mkuu ndio hatuna kumbukumbu eeee? 😜😜
Kweli mkuu umenigusa hadi kwa mfupa. hata mimi siwaoni humu wajanja walokuwa untouchable wa darasa na km ulikuwepo kijiji kile sijawahi kanyaga. kwa hiyo ulisoma JUMA NA ROZA MKUU? haya maandishi makweta aliyapinga eb angalia,najaribu kutafuta niliosoma nao siwaoni kweli kusoma bush ni tabu kidogo ukiondoka umewaacha wengi sana na miaka ya 80 kurudi chini waliokuwa wanaenda sekondari ni 5% na ukitoka kijijini haurudi tena kwa nafasi unajifanya wa mjini.
uzi mzuri sana hongera