johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Wale Wahenga wanakumbuka jukumu la Wasanii siasani enzi za awamu ya kwanza
Wasanii walibaki kuwa waburudishaji tu
Zama hizi tumeendelea Sana Wasanii Ndio Viongozi Watoa maamuzi Akina MwanaFA nk
Mlale Unono 😂
Wasanii walibaki kuwa waburudishaji tu
Zama hizi tumeendelea Sana Wasanii Ndio Viongozi Watoa maamuzi Akina MwanaFA nk
Mlale Unono 😂