chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
Kwanza ndugu zangu wa JF naomba niwasalimu wote.
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"