Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,708
- 20,471
Sawa, tusubiri kwenye ujumbe wa Christmas mwezi Disemba, 2019OK Siku wakikaa vikao vya kalenda zao
Sawa, tusubiri kwenye ujumbe wa Christmas mwezi Disemba, 2019OK Siku wakikaa vikao vya kalenda zao
Yeah, baadhi hudhani hivyo kama ilivyo KKKT; kwamba Askofu Mkuu wa KKKT ndiye boss wa wote. Hierarchy ya viongozi wa kiroho wa Roman Catholic, iko complex kidogo.Halafu kuna watu hudhani Cardinal Pengo ni Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania
Yeah, baadhi hudhani hivyo kama ilivyo KKKT; kwamba Askofu Mkuu wa KKKT ndiye boss wa wote. Hierarchy ya viongozi wa kiroho wa Roman Catholic, iko complex kidogo.
Nasikia Kwa Kagame nao waliua,ubabe ni wa kwetu,upole ni wa kwao toka enzi!!!Kadinali na Magudume ni kopo na mfuniko, hawezi kumkosoa, wala hawezi kuruhusu Kanisa kumkosoa kaka Magudume
Hahah according to your logic. Anaesema ukweli = mpinzani.Tatizo askofu shoo ana elements za UPINZANI ndo wasiwasi unaanzia hapo
Unateswa na mahaba - fuatilia vizuri yupo Askofu wa Jimbo la Ngara NIWEMUGIZI (Mzaliwa wa Rukoto Biharamulo - karibu kidogo na Seminari ya Katoke)
Je anao uwezo wa kumsema Kiongozi wakiwa wanaonana USO KWA USO?
Hapo ndipo hoja yangu imejikita.
Huyo Shoo hawezi kutofautisha siasa na mahubiri, ana hatred ya kichadema moyoni
Huyo askofu roho ilimuuma toka aone vijna wake wa kaskazini wamekosa utawala wa nchi nae kaamua kuwa mpinzani mazima
Na hiyo complexity ndiyo inalifanya liwe taasisi imara.
Mfano, watu wengi hawajui nafasi Askofu Ruwaichi wa Jimbo Kuu la DSM. Ruwaichi ni Askofu Mwandamizi, Pengo ni Askofu, Nzigirwa ni Askofu Msaidizi.
Ila kimamlaka, Ruwaichi ndiye Mkubwa, maana yeye yupo pale kuchukua madaraka baada ya Pengo kustaafu. Nzigirwa anabakia kuwa msaidizi.
Maaskofu wote wanateuliwa na Papa wawe Jimbo Kuu au Jimbo. Na hawapigiwi kura!
kwamba ulitaka iseme RC na siyo KKT?Kwanza ndugu zangu wa JF naomba niwasalimu wote.
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"