S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,620
- 32,733
Kwa ujasiri aliouonyesha hata mimi nadiriki kusema ni chadema.Dr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia
Huwezi kukuta mwanaccm anahoji mambo ya msingi hata siku moja
Kwa ujasiri aliouonyesha hata mimi nadiriki kusema ni chadema.Dr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia
Basi hata Dr Bashiru ni ChademaDr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia
Kwa hyo kama n chadema ndio akae kimyaDr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia
😂😂😂😂😂😂Malipo Ni Hapa hapa Duniani.
Leo Bashite yame mkuta kwa aliyoyafanya kwa Pierre
daaah Maisha Yana Enda Kasi SANAAAA
Hilo la padri kabaki nalo tu sio padri tena alishavuliwa na alishaoa tayariPadri Privatus Karugendo huyafanya haya mara kwa mara kwenye makala zake anazoandika katika gazeti la MWANANCHI
......Kwanza ndugu zangu wa JF naomba niwasalimu wote.
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"
Roman Catholic Church has failed miserably in leading Tanzanians ,yani nimesikitika sana.
Yani Pope akija Tz atasikitika sana.
No more leadership.
.....Katoliki ya Tz yupo somebody Askofu Ruwaichi. Jamaa huwa ananyooka sana Sena siku hizi yupo kmya sana. Nakumbuka alijuwa Jimbo la Mwanza siku hz sijui yupo wap simsikii
Usipambanishe viongozi wa dini na makanisa yao......tafuta hela dogoKwanza ndugu zangu wa JF naomba niwasalimu wote.
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"
Sio kosa Askofu Shoo akiwa Chadema. Kadino Pengo ni ccm mwanzo mwishoDr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia
Kwanza ndugu zangu wa JF naomba niwasalimu wote.
Pili naomba niseme ukweli wangu kutoka moyoni ya kuwa Leo katika Ibada ya Mazishi ya DR. MENGI, nimefurahishwa sana na kile alichosema ASKOFU DR. SHOO. Sababu kubwa ni hizi;
i.Amesema ukweli bila kuogopa kama muhusika yupo au la.
ii.Amewasemea wanyonge na wenye hofu ya kusema ukweli.
iii.Ametoa ushauri bila kuogopa wenye mamlaka kama wapo au la.
iv.n.k
Binafsi nimejiuliza, "JE KUNA KARDINALI, ASKOFU au PADRI MWENYE UWEZO WA KUVAA JAPO SOKSI TU NA SIYO VIATU VYA ASKOFU DK.SHOO AKIPEWA NAFASI YA KUSEMA NENO MBELE YA VIONGOZI WA SERIKALI?"
Ni kama wanavyosema Pengo ni CCM nje ndani,na huwa anashiriki kutengeneza sera za chama na ni mshauri wa kiroho anayeendelea kuhakikisha mfumo kristo mnaoulalamikia kila siku ujiimalisheDr Shoo ni Chadema wa Kufa kuzika yaani Chadema Lia lia