Zawadi B Lupelo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,549
- 3,722
Ni wiki kadhaa sasa toka serikali itangaze kuwa itanunua korosho zote na kuwalipa wakulima.
Mpaka sasa serikali kupitia wizara ya kilimo ipo kimya, haijulikani ni korosho tani ngapi zimenunuliwa na nani amelipwa. Hawa wakulima wanaishije? Hali zao zipoje?
Nadhani ni wakati sahihi kwa serikali kupitia wizara ya kilimo kutangaza kuwa imenunua tani ngapi mpaka sasa na zoezi linaendeleaje. Hatuwezi kupotezea swala nyeti namna hii, hii nchi imekuwa ya matukio likiisha hili linaibuliwa lingine hapana hili tuhakikishe linaisha kwanza.
Mpaka sasa serikali kupitia wizara ya kilimo ipo kimya, haijulikani ni korosho tani ngapi zimenunuliwa na nani amelipwa. Hawa wakulima wanaishije? Hali zao zipoje?
Nadhani ni wakati sahihi kwa serikali kupitia wizara ya kilimo kutangaza kuwa imenunua tani ngapi mpaka sasa na zoezi linaendeleaje. Hatuwezi kupotezea swala nyeti namna hii, hii nchi imekuwa ya matukio likiisha hili linaibuliwa lingine hapana hili tuhakikishe linaisha kwanza.