Ni Vyuo gani vya elimu ya juu vinaongoza kwa kuchukua div 3 and failures?

Jamani kafeli huyu msaidieni aende chuo gani? Mimi nakushauri uende veta ukajifunze kupamba kumbi za sherehe.
 
Rudi shule ukajifunze kuwa, mwanafunzi anadairiwa kupitia vigezo vya NACTE, na wala awaangalii ulipata Div gani.
 
jamani,nahoji upeo wa mawazo wa muuliza swali, na kama kweli yeye ni msomi au m2 asiye na elimu,naona bado ana mawazo ya mwaka 47 kwamba hapa bongo chuo ni udsm tu,hayo ni mawazo mgando,nadhan mmemshauri vzr juu ya kufanya research za waliojiriwa mwaka 2009/10 na aangalie hao anaoamini wanatoka vyuo bora wapo wangapi? Aache maneno mbofumbofu na za kitoto.
 
Nawauliza wanaJF
Ondoa mawazo ya kitumwa kichwani mwako .Unajiona umafaulu lakini Tunayoiita elimu hasa hauna kichwani kwako ,mkaririshaji mkubwa ww. Ukiendelea hv utajikosesha opportunity nyingi katika maisha.
 
mimi nijuavyo hata div IV ni pass! maana kwenye cheti wanaandika flani amekuwa awarded cheti kwa kupata daraja la 4 .. kwenye mabano (PASS) maybe kutokana na udogo wa vyuo hapa kwetu tanzania ndio maana wanakosa nafasi..

nimeona watu wengi wenye daraja la nne wanakwenda kusoma nje ya nchi na kurudi tanzania na kuwa madactari na ma engineer wazuri tu
 
Ondoa mawazo ya kitumwa kichwani mwako .Unajiona umafaulu lakini Tunayoiita elimu hasa hauna kichwani kwako ,mkaririshaji mkubwa ww. Ukiendelea hv utajikosesha opportunity nyingi katika maisha.
aulizae anataka kujua, sijui shutuma zote hizo zinatoka wapi?
 
aulizae anataka kujua, sijui shutuma zote hizo zinatoka wapi?
<br />
<br />
mjuze basi wewe. Hilo nalo ni swali la kuuliza watu wazima, hilo swali la kitoto tipically ndo maan unaona hata aina ya majibu yato lewayo.
 
wewe unaonekana ni mtoto tena hujapevuka na naamini hauzidi miaka 25<br />
<br />
hakuna chuo chochote kinachodahili wanafunzi wa shahada kwa kutumia failures na kwa wale wanaotoa special consideration to some groups e.g women hufanya pre-entry course na hapo hata the giant yako the University of Dar es Salaam hufanya hivyo kwenye baadhi ya kozi kama vile engineering, kwa hiyo UDSM kama unataka kwa definition yako, then ni miongoni mwa vyuo vinavyoadmitt failures!!!<br />
suala la admission pia hutegemea na wingi wa wanafunzi wanaoomba kozi husika na hotness yake kwenye market, wewe upo radi usome kozi yoyote so long as inatolewa udsm hata kama ni third choice yako lakini mwingine akikosa law mlimani atatafuta kwingine be it tumaini ,saut wherever ili atimize ndoto zake za kuwa mwanasheria. ukiapply chuo muhimbili(MUHAS) watakwambia kabisa kozi za medicine, pharmacy na environmental health science zinagombewa na wengi so posibility ya kukosa ipo, sasa mtu yeye akitaka medicine au pharmacy muhimbili akakosa utamponda kwa kuomba kcmc,bugando au st john dodoma so long as ana point 4.5 ili atimize ndoto ya kuwa medical doctor au pharmacist?<br />
vyuo vingine hivi vya sasa vina kozi zisizopatikana vyuo vikongwe mfano course za procurement and supplies zilianza kwanza vyuo vipya kabla ya vyuo vikongwe navyo kuanzisha kozi hizi<br />
<br />
halafu ishu ya mimi kuwa IFM,SAUT/MUCCOBS sio ishu wala haina uhusiano wowote wa haya ninayoyaandika<br />
FYI, sipajui SAUT, MUCCOBS na IFM nilipata kufika mara mbili tena muda mrefu baada ya kwisha kumaliza shahada ya kwanza , ambayo ilikuwa siku nyingi kabla ya wewe kuwa chuoni na kabla ****** hajawa rais wa nchi hii na ujue niliipata kutoka chuo kikuu cha kwanza tanzania na pia the first medical university kabla ya kubadili jina lake ililonalo sasa.
<br />
<br />
umemjibu swali vizur sana. Ni mtoto akikua ataacha.
 
<span style="font-family: comic sans ms">Jamani kafeli huyu msaidieni aende chuo gani? Mimi nakushauri uende veta ukajifunze kupamba kumbi za sherehe.</span>
<br />
<br />
umempatia.
 
Wapo wanaoingia na div 1 varsity wakafanya vibaya na hao wa div 3 wakafaulu vizuri. Ukizingatia mfumo wetu wa elimu ya sekondari tz, mtu anaweza akapata div 1 lakn asiwe na chochote zaidi ya kumeza past paper.
 
SUA kuna Pre entry "VIDU" ambapo wale wenye div 3 hasa ladies wanapikwa ili waje kupiga skuli na wenye div 1 na div 2
 
mimi nijuavyo hata div IV ni pass! maana kwenye cheti wanaandika flani amekuwa awarded cheti kwa kupata daraja la 4 .. kwenye mabano (PASS) maybe kutokana na udogo wa vyuo hapa kwetu tanzania ndio maana wanakosa nafasi..<br />
<br />
nimeona watu wengi wenye daraja la nne wanakwenda kusoma nje ya nchi na kurudi tanzania na kuwa madactari na ma engineer wazuri tu
<br />
<br />
si udogo wa chuo, weng wanaoenda chuo wanakosa mkopo, kwa watu wenye uwezo wa uchumi wanasoma Mliman, Sua na hata Mzumbe na four zao mwshoni wana make fresh wanakuacha wa 3 yako. Unafikir kwa nn ma To hawapend kusoma bongo. Wanakimbzwa wakfka chuo.
 
Back
Top Bottom