Mwalimu Ntuntu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 305
- 279
Habari wanajukwaa hili muhimu,
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua juu ya Elimu inayopatikana kwa njia ya mtandao (on-line) hasa kutoka vyuo vya nje.
Je, unaweza kutambulika kama mhitimu?
Je, ukiileta kibongo bongo hiyo shahada ya nje TCU hawawezi kuleta zengwe?
Msaada kwa aliyepitia huu uzoefu tafadhali.
Ahsanteni
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua juu ya Elimu inayopatikana kwa njia ya mtandao (on-line) hasa kutoka vyuo vya nje.
Je, unaweza kutambulika kama mhitimu?
Je, ukiileta kibongo bongo hiyo shahada ya nje TCU hawawezi kuleta zengwe?
Msaada kwa aliyepitia huu uzoefu tafadhali.
Ahsanteni