DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,949
- 45,429
Unfortunately hii Serikali inajilisha upepo , kupoteza Fedha na hela za walipa kodi kwa ajili ya kulifuta jina linaoitwa Mbowe ni kujidanganya.
Hii ni sawa na mtu kuchota maji mtoni na kuyapeleka baharani.
Mbowe yuko na back up ya watu almost Million 30 Tz na nje.
Mimi naona hii ligi mmechokoza pabaya sana . time will tell.
Mbowe huyu nayemjua leo hii ndo mnajipima naye ubavu aaaaha! Kweli watu mmekosa maarifa huu mfupa ulimshinda kayafa sembuse nyie ..
Hii ni sawa na mtu kuchota maji mtoni na kuyapeleka baharani.
Mbowe yuko na back up ya watu almost Million 30 Tz na nje.
Mimi naona hii ligi mmechokoza pabaya sana . time will tell.
Mbowe huyu nayemjua leo hii ndo mnajipima naye ubavu aaaaha! Kweli watu mmekosa maarifa huu mfupa ulimshinda kayafa sembuse nyie ..