hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Habari wanajf
Japani ni nchi inayoendelea kwa Kasi Sana, vijana wapo busy sana , wanajali mda sana, na wanasaidiana wao kwa wao
hata mitandao yaao ya kijamii Ina mada zinazolenga kujifunza kitu fulani.
Vijana wa kiafrika tuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wajapani ili kulikomboa bara letu hili ambalo ujinga una mashabiki wengi sana kuliko vitu muhimu.
Karibuni kwa mchango.
Japani ni nchi inayoendelea kwa Kasi Sana, vijana wapo busy sana , wanajali mda sana, na wanasaidiana wao kwa wao
hata mitandao yaao ya kijamii Ina mada zinazolenga kujifunza kitu fulani.
Vijana wa kiafrika tuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwa wajapani ili kulikomboa bara letu hili ambalo ujinga una mashabiki wengi sana kuliko vitu muhimu.
Karibuni kwa mchango.