CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Ngoja tumuache. Haya,na wewe mpe jibu....vile ni vitu gani.me siyo wa kishua ila mikono yangu inafanana kidogo na hyo pamoja na kufanya kazi ngumu, sa vp kwa jamaa ikiwa kazi yake ngumu n kifinyanga tonge la ugali unazan atakuwa na mikono ya namna gan
