Ni vigumu sana kuwatofautisha Zitto na Halima Mdee

Kinachonishangaza kwa CHADEMA ni kumdharau Mdee kama vile ni takataka fulani. Mdee ameumizwa Mara ngapi kwa ajili ya CHADEMA? Hivi hiyo dhambi ya kwenda bungeni imemfanya Mdee kukosa thamani kiasi hicho?
Narudia kusema kwamba kama mnatuaminisha kuwa Mwendazake alikuwa Dikteta, mnayajua yaliyowakuta hao wanawake kabla ya kuapishwa? Wakati huo inasemekana nguvu ya dola ilitumika hata kumtoa mtu gerezani ili aapishwe. Kama ninyi mlivyotuamisha ina maana utawala wa amwendazake ulitumia nguvu ya dola kuhakikisha hawa wanawake wote wanaingia mtegoni.
Ni nguvu hiyo hiyo iliyosababisha wengine watoroke nchi, wengine kujisalimisha kabisa kwa kujiunga na sisiem, wengine kuishia magerezani. Hivi kwa nini hawa wanawake ndiyo waonekane wadhambi zaidi? CHADEMA mna haki kweli ya kuifundisha sisiem hekima? Kwa nini msipambane na mfumo mnaoamini ni kandamizi uliopelekea hao akidada kujisalimisha? Hilo tukio la hao Dada zenu mlioambatana nao siku zote kwenye siasa ya nchi hii na leo kuonekana takataka mbele zenu mkifanikiwa kuwaondoa mtakuwa mumetatua tatizo la nchi hii? Mnataka watoke muweke wake zenu?
Mkuu hii mijitu CHADEMA ni midikteta mibaya sana isiyo na madaraka tu.
 
Leta hapa uthibitisho wa hiyo chuki.

Mimi ni mtu huru kabisa, yawezekana sijaona tu hiyo tu.
“Tuliamua kushiriki Uchaguzi. Wenzetu waliamua kususia. Tuliheshimu maamuzi yao. Tukapata Taarifa za kura feki, tukasema. Wenzetu wakasema ‘tuliwaambia’. Tukadhibiti kura feki. Lakini tukashindwa. Tuka-concede. Wenzetu wamenuna, wanatoka povu. Ni ushamba tu. Concession is so normal”. Zitto Kabwe.

‘Wenzetu’ means CHADEMA.
 
Mkuu hii mijitu CHADEMA ni midikteta mibaya sana isiyo na madaraka tu.
Nakubaliana na wewe. Pia kuna swali moja aliwahi uliza Kardinari Pengo kwamba tunapinga ufisadi kwa sababu tunachukia ufisadi au kwa sababu tumekosa nafasi ya kufisadi? Lilikuwa swali la mtego kwa upinzani.
 
“Tuliamua kushiriki Uchaguzi. Wenzetu waliamua kususia. Tuliheshimu maamuzi yao. Tukapata Taarifa za kura feki, tukasema. Wenzetu wakasema ‘tuliwaambia’. Tukadhibiti kura feki. Lakini tukashindwa. Tuka-concede. Wenzetu wamenuna, wanatoka povu. Ni ushamba tu. Concession is so normal”. Zitto Kabwe.

Wenzetu means CHADEMA.
Ukiachaana na mashambulizi ya wanaCHADEMA kama nyinyi. Huyu ni kiongozi wa CHADEMA👇👇👇

Sasa kwa hiyo tweet kinachoifanya iwe ni chuki nino ?

Screenshot_20210517-093443.png


Screenshot_20210517-093422.png
 
ZZK akikalia kiti 'mwenzake' huwa haleti vurugu, na usishangae awamu hii akawa ally wa maza........... ndivyo alivyo!
 
Ni lini CHADEMA walishawahi kukaa na kukubaliana kuwa watashirikiana na chama kingine.

Leta hata uthibitisho wa agenda yoyote unaoonesha kuwa CHADEMA waliomba na kupigania kushirikiana na chama kingine.

CHADEMA huwa wakiona mgombea wao anakubalika hawataki kabisa ushirikiano na mtu. Kama unataka ushirikiano ni wewe ndio utatakiwa kuwaunga mkono.

Ni kundi la watu wabinafsi sana.
65151790-A66E-4C23-98E4-EF9D21D4E39A.jpeg
8E97C075-D455-49EE-BF1B-E4C4B0CC66AD.jpeg
 
Hata maandishi yako mwenyewe yanaonyesha chuki uliyonayo kwa CHADEMA.
Simchukii kila mwanaCHADEMA kwasababu mimi ni muumini wa UTU na sipendi UNAFIKI.

Watu wapuuzi na makatili wako vyama vyote na watu wema wako vyama vyote.

Chuki ya CHADEMA kwa Zitto imekuwa too much. Ni sawa na chuki ya CCM kwa Lissu.

Hivi siku mkipata madaraka Zitto atapona kweli?

Leo tena mmeanza kumshambulia Mdee, wiki kadhaa nyuma mlikuwa mnamshambulia Nyalandu.

Chuki nzito za nini?
 
Simchukii kila mwanaCHADEMA kwasababu mimi ni muumini wa UTU na sipendi UNAFIKI.

Watu wapuuzi na makatili wako vyama vyote na watu wema wako vyama vyote.

Chuki ya CHADEMA kwa Zitto imekuwa too much. Ni sawa na chuki ya CCM kwa Lissu.

Hivi siku mkipata madaraka Zitto atapona kweli?

Leo tena mmeanza kumshambulia Mdee, wiki kadhaa nyuma mlikuwa mnamshambulia Nyalandu.

Chuki nzito za nini?
Unaposema Mijitu ya CHADEMA unamaanisha nani ndani ya Chadema.
 
Hilo ni tamko au makubaliano ?

Do even know the difference?

Anyway, mimi nasubiri kuona.

CHADEMA hawatakuja kushiriki uchaguzi wowote ule chini ya tume hii mpaka pale CCM watapoirekebishe ili iwafurahishe CHADEMA.

Insanity.
Hivi mnaweza kutoa tamko la pamoja bila makubaliano.
 
Back
Top Bottom