- Thread starter
- #61
Unachukia matendo ya Chadema yanayotendwa na mwanaCCM?Mimi nachukia matendo ya CHADEMA na siyo mwanachama wala msukule wa chama chochote kile.
Hahaa sili nyama ya nguruwe ila mchuzi wake nakunywa. 😃😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachukia matendo ya Chadema yanayotendwa na mwanaCCM?Mimi nachukia matendo ya CHADEMA na siyo mwanachama wala msukule wa chama chochote kile.
TUMBO lamchezesha shere.Sijawahi kumwamini Zitto !! Kuna muda nilijitahidi sana kufanya hivyo ila nafsi ikanigomea hadi leo hii.
Mangi huna akili.Hahaa sili nyama ya nguruwe ila mchuzi wake nakunywa. 😃😃😃😃
Nilijua tu lazima utafika huku, mimi siendi unapotaka kunipeleka.Mangi huna akili.
Well saidNi vigumu sana kutofautisha chuki ya CHADEMA mliyonayo kwa Zitto na chuki waliyonayo CCM kwa Tundu Lissu.
Kitu pekee ambacho CHADEMA hamjakifanya kwa Zitto ni risasi 36 tu.
Ni lini CHADEMA walishawahi kukaa na kukubaliana kuwa watashirikiana na chama kingine.
Leta hata uthibitisho wa agenda yoyote unaoonesha kuwa CHADEMA waliomba na kupigania kushirikiana na chama kingine.
CHADEMA huwa wakiona mgombea wao anakubalika hawataki kabisa ushirikiano na mtu. Kama unataka ushirikiano ni wewe ndio utatakiwa kuwaunga mkono.
Ni kundi la watu wabinafsi sana.
Tumevumilia miaka 5 ya MATAGA na Magufuli, ni wakati sasa wa MACHAGA na Mbowe.Nilijua tu lazima utafika huku, mimi siendi unapotaka kunipeleka.
Hata mwendazake hana hamu na Chadema.Hilo lichama la kikabila/ukanda sina hamunalo. Nafurahi kuona kila kukicha wanahamia ccm.
Njoo kwa hoja matusi hayatasaidia kitu.Tumevumilia miaka 5 ya MATAGA na Magufuli, ni wakati sasa wa MACHAGA na Mbowe.
Kazi kwenu. Yetu macho.
CHADEMA inadai serikali itengeneze mifumo sio watu, lakini wao wanapambana na watu sio mifumo. Too much siasa.Simchukii kila mwanaCHADEMA kwasababu mimi ni muumini wa UTU na sipendi UNAFIKI.
Watu wapuuzi na makatili wako vyama vyote na watu wema wako vyama vyote.
Chuki ya CHADEMA kwa Zitto imekuwa too much. Ni sawa na chuki ya CCM kwa Lissu.
Hivi siku mkipata madaraka Zitto atapona kweli?
Leo tena mmeanza kumshambulia Mdee, wiki kadhaa nyuma mlikuwa mnamshambulia Nyalandu.
Chuki nzito za nini?
Wao wenyewe wanajenga watu na siyo mfumo. Wanaamini akiondoka Mbowe na CHADEMA inaondoka.CHADEMA inadai serikali itengeneze mifumo sio watu, lakini wao wanapambana na watu sio mifumo. Too much siasa.
Very trueWao wenyewe wanajenga watu na siyo mfumo. Wanaamini akiondoka Mbowe na CHADEMA inaondoka.
Kila mwanaCHADEMA ni Msaliti mtarajiwa isipokuwa Mbowe tu.
Hakuna tafauti yoyote ile kati ya hao wawili,kuna wakati wakati wa Magufuli alipomuondoa waziri wa Madini Zitto alikuwa anajipendekeza sana kwa mwendazake alitegemea atapewa yeye, sasa hivi mama kasema katika uteuzi wake hatoangalia chama au lolote lile kwahiyo bwamdogo ameanza kujipendekeza.Wakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura.
Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.
Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.
Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.
Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.
Kuna mmoja anavuta ganja mwingine havutiWana tofautiana vikojoleo tu.vingine vyite wako sawa hadi saut
Chadema wameisusia NEC siyo Zitto ukipambana na NEC unapambana na mfumo.CHADEMA inadai serikali itengeneze mifumo sio watu, lakini wao wanapambana na watu sio mifumo. Too much siasa.
Hawa hapaWakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura.
Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.
Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.
Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.
Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.