Ni vibaya kufall in love?

Ni vibaya kufall in love?

Habari wanajukwaa,

Kwa dhati kabisa kutoka moyoni nimeamua kuandika huu uzi naomba niulize je ni vibaya kwa msichana kufall in love kwa mvulana?maana kusema ukweli wa Mungu kuna mwanamember nampenda sana kiasi kwamba namfikiria muda wote ingawa sijawahi kumwona msaada jamani

how can you fall in love with an icon?
 
how can you fall in love with an icon?

The way he contribute in threads na pia nmejikuta tuu nampenda hata nkiona avatar yake nachanganyikiwa kabisa yaani
 
Kupenda hakuna tatizo, namna unavyopenda ndo inaweza kuwa shida
 
Ndio nishapenda sasa nifanye nini jamani
 
Kwa raha zako bibie jiachie, kwanini uutese moyo wako na dawa waijua?
 
Habari wanajukwaa,

Kwa dhati kabisa kutoka moyoni nimeamua kuandika huu uzi naomba niulize je ni vibaya kwa msichana kufall in love kwa mvulana?maana kusema ukweli wa Mungu kuna mwanamember nampenda sana kiasi kwamba namfikiria muda wote ingawa sijawahi kumwona msaada jamani

Si vibaya. Kabla hujaweka ID yake nenda PM. Msije chezesheana vya mbavu hadharani ukasajili ID mpya
 
Wee fall tu, hakuna ubaya, ila ukiangukia meno usije unalia lia hapa.
 
Back
Top Bottom