First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
unajihami unarusha jiwe kwa mbalii....
hahahaaa sio kujihami.. ndo ukweli.. hapana taka macho ya mahaba yadondoshe machozi asee.
unajihami unarusha jiwe kwa mbalii....
hahahaaa sio kujihami.. ndo ukweli.. hapana taka macho ya mahaba yadondoshe machozi asee.
Kweli utakua mwaminifu?
Nikimwambia itakua vibaya?
shkamoo mumy....dadii kasafiri tena?
Hakuna ubaya mwayaa...jiachiee,ila uwe tayar kwa lolote maana lazma utakuwa na criteria zako za muonekano na nn..usije ukakutana na mtu pua kama honi ya tractor au mdomo kama chuchunge..ukabaki gaaaaah! B ready for anythin' mama..usijiwekee expectations kubwa sana
Haya basi nitakupm
Hapo sasa ndio kingine ninachokifikiria tena
Marhaba daughter....dadii yupo siku hizi namfungia ndani si unaona mama zako wadogo walivyo wengi?
hahahaaa sio kujihami.. ndo ukweli.. hapana taka macho ya mahaba yadondoshe machozi asee.
Haya basi nitakupm
mambo....?
Mkwe mi nna njaa ujue...