Ni vibaya kufall in love?

Ni vibaya kufall in love?

Kule mjengoni kuna mh. Kijana me hoiii yani nikimuona tu najichekea peke yangu
 
Well, mchek kwenye pm.. Tell him what u feel, ila in my opinion, sidhani kama you're in love, tunasema you have a "crush" on him. trudie
 
Last edited by a moderator:
Jifungukie tu best
Wengine tumejifungukia tukapata mume na kuolewa...wengine wachumba.....wengine wakaliwa kisela na kuachwa .....wengine walitukanwa....
Try urs....best lucky
 
Jifungukie tu best
Wengine tumejifungukia tukapata mume na kuolewa...wengine wachumba.....wengine wakaliwa kisela na kuachwa .....wengine walitukanwa....
Try urs....best lucky

haaaa, siamini..na kuolewa ushaolewa??
 
Mwenzenu nimekufa kwa mh. kijana ipo siku nitampigia no yake ninayo
 
Sema unataka kumuibia viposho vyake tu.....hakuna mapenzi hapo!
 
Nitamwambia ukweli km ananitesa usingizi sipati kwa ajili yake
 
Habari wanajukwaa,

Kwa dhati kabisa kutoka moyoni nimeamua kuandika huu uzi naomba niulize je ni vibaya kwa msichana kufall in love kwa mvulana?maana kusema ukweli wa Mungu kuna mwanamember nampenda sana kiasi kwamba namfikiria muda wote ingawa sijawahi kumwona msaada jamani

Ni vibaya sana KUFALL in love simply because anything that falls breaks
 
Lakini siwezi kujizuia juu ya hili mkuu despite that all that falls break

1408229411556.jpg
 
Back
Top Bottom