Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

mtihani upo katika kujua kama kweli anakupenda........................au ndizo jitihada za kukusomesha wakati wa kuishia umewadia..............uvumilivu makes sense kama upo pande zote..............a two way traffic.....................
 
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.
Dah!!! Huu ushauri sijui niuchukue au sijui niuache, ngoja nitafakari kwanza baada ya kuusoma
 
mtihani upo katika kujua kama kweli anakupenda........................au ndizo jitihada za kukusomesha wakati wa kuishia umewadia..............uvumilivu makes sense kama upo pande zote..............a two way traffic.....................
<br />
<br /
Umeona eeh!
 
Maoni yangu, kuna watu humu jamvini wakiongelea mapenzi naona kushoto kweli kama mkuu TF, unajua kila mtu anamfikiria mtu kutokana na post zake, kwa huyu kaka namwonaga kama padri fulani, asiyejishughulisha na mambo ya mapenzi Nikirudi kwenye mada, kwa kweli ni muhimu kujua mwenzako weakness zake, itakufanya kumwelewa na kuweza kumchukulia kwa namna yeyote, as long as mapenzi yapo, sababu wengine huwa ni wagomvi tu na ugomvi wao haumaanishi hakupende la hasha, ndivo alivyo, uvumilivu kwenye mahusiano ni kitu namba moja
Hahahaha!!! Lol..hii kali kweli Shantel
 
ushaurii wako mzurii mkuu, ila uvumilivu unategemea na tatizo linalovumiliwa!
kuna uvumilivu mwingine ni ujinga , unakuja kujilaumu baadae sana ushafanya mistake kibao yan! unaanza kujuta na ninge...
bora uache na kuachwa mpaka hapo utakapompata wa kuona anakufaa, kuliko kuvumilia matatizo ya kujitakia!
 
TF nasoma hapa Interview kati ya Oprah na marehemu Whitney H.
Machozi yananitoka kuna uvumilivu mwingine mbaya sana mmh
Asante kwa ushauri wako Mkwe
 
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.
Umenigusa
 
Tujifunze kusamehe, kusamehe ni kitendo cha kupooza au kuacha kujisikia umekwazwa au umekosewa au umeudhiwa au kuondoa hasira mwa mtu aliyekukosea, wengi wamekosa kuponywa magonjwa hata kwa maombi kwasababu wameshindwa kusamehe, wengine afya zao zinazidi kuzorota kisa hawataki kusamehe wenzao.

Watu wanaweza kutuumiza kwa njia nyingi hata hivyo tunahitaji kuwasamehe, pia kusamehe wakati mwingine sio rahisi kama wengine wanavyodhani hata hivyo inabidi kusamehe, hata hivyo kama vilivyo vitu vingi hasira kwa wengine is easier said than done, huwa inakuwa ngumu kusamehe hasa pale yule tunayetaka kumsamehe anaonekana hana sababu au hastahili kusamehewa..
 
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.


Msg sent but not delivered!
 
Sometimes ni ngumu kuvumilia hasa kama mapenzi yapo undefined! Mtu anakuwa haeleweki leo mapenzi moto moto kesho vituko visivyoeleweka.. Akha.. Nabwaga manyanga chini! Ya nini.. I believe human beings hatupo sawa so i will be hopeful kukutana na mwenye vituko vilivyo tolerable kwangu!
 
Back
Top Bottom