Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,501
- 26,997
Hii ni kero kubwa na inafanyika kienyeji sana, watu wa hovyo wanakusanya ‘ushuru’ kiholela tu na bila shaka pesa wanajipigia tu ndio maana miaka nenda rudi hakufanyiki lolote pale.
Kama airport nasindikiza na kupokea wageni bila kiingilio hapo Ubungo kuna nini?
Kama airport nasindikiza na kupokea wageni bila kiingilio hapo Ubungo kuna nini?