Ni upendo au anaibiwa?

Ni upendo au anaibiwa?

Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.

Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.

Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.

Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane

Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa

Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?

Ushauri wenu ni muhimu.
Mapenzi hayashauriwi. Mwache afanye anachotaka, ili likija kumkuta anavoumia pekeake awe anaumia pekeake kweli.. Tusije tukajikuta na wengine tupo kwenye mzigo wa lawama. Washenzi hua wanasema SIKILIZA MOYO WAKO. Na yeye mwambie vivyo hivyo.
 
Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.

Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.

Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.

Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane

Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa

Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?

Ushauri wenu ni muhimu.
Hahahhaa aliyeelewa anaisaidie
 
Hii mada imenikumbusha enzi za jf hiyoooo!!!.
Ilikuwa ni full kutumiana mitalmbo na vipochi manyoyaa.
Isee watu walitumiana sana Hela Kuna nyapu. Sasa mtu anaileta kwa 35tshs Bado unajiuliza???!!!!!!!
 
Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.

Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.

Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.

Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane

Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa

Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?

Ushauri wenu ni muhimu.
Amwambie aje mwenyewe, au ajilipue tu 35 kitu gani
 
Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.

Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.

Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.

Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane

Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa

Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?

Ushauri wenu ni muhimu.
Pole sana mkuu unachat na Malaya.

Hakuna wife material anayejua Kuna Facebook, TikTok, Instagram na hata wasapu!!

Kitendo chakutuma Hadi picha za sex itoshe tu kusema utapigwa tukii hapo hakuna screw itakaza
 
Jamaa gani wakati ni wewe acha kusingizia watu
 
Mabinti wa kanda ya ziwa kutoroka kwa wazazi ni kugusa...
Jamaa asiwe na nauli atakayotuma. Hiyo ni uhakika.

Ila asisahau; kama ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga.
Nikimaanisha, kama ukifurahi kumtorosha, usilie akija kutoroka kwako. Muda huo bba yake akijua yupo kwako.

Uasherati sio kitu chema. Kama kweli unampenda kwanini usifate taratibu? Hakuna mzazi amzuiae bintiye kama amefikisha umri wa kuolewa, laba kama anakuongopea.
 
Back
Top Bottom