Kwa hiyo anaamini kabisa huko binti aliko hamna wanaume? Tena Tarime?
Na toka lini kwa Wakurua wazazi wakakataa binti asiolewe? Wakati shule kwao sio kipaumbele, na wanaozesha mabinti wakiwa na miaka 16 tu? Huyo binti anayesema wazazi wake wamekataa asiolewe haoni haiingii akilini?
Ukweli ni kwamba, huyo binti atakuwa "HAOLEKI" kwa mazingira aliyopo kwa sababu mbalimbali.
Sababu zinaweza zikawa ni hizi:
1. Kwao ni wachawi sana mpaka panaogopwa.
2. Kwao wana magonjwa ya kurithi ndo maana wanaume wanapakimbia.
3. Ni kicheche sana mpaka wanaume hawamtaki kumuoa.bali wanamchezea tu.
4. Kwao wana nuksi, ukioa hiyo nyumba basi mikosi haiwezi kukuacha salama.
[INDENT
Haingii akilini binti yuko tu nyumbani, kisha eti adai wazazi hawataki aolewe!